Mathayo 12:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini Mafarisayo wakaenda na kufanya shauri juu yake ili wapate kumwangamiza.+ Luka 6:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini wakaingiwa na wazimu, nao wakaanza kuzungumza wao kwa wao jambo ambalo wangeweza kumtendea Yesu.+ Yohana 11:53 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 53 Kwa hiyo tangu siku hiyo na kuendelea wakakata shauri kumuua.+
11 Lakini wakaingiwa na wazimu, nao wakaanza kuzungumza wao kwa wao jambo ambalo wangeweza kumtendea Yesu.+