-
Yohana 5:18Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
18 Kwa kweli, kwa sababu hiyo Wayahudi wakaanza kutafuta-tafuta hata zaidi kumuua, kwa sababu si kwamba tu alikuwa akiivunja Sabato bali pia alikuwa akimwita Mungu Baba yake mwenyewe, akijifanya mwenyewe kuwa sawa na Mungu.
-