Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 17:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na itatukia kwamba atakapoketi kwenye kiti chake cha ufalme, atajiandikia katika kitabu nakala ya sheria hii kutoka katika ile iliyo mkononi mwa makuhani Walawi.+

  • Kumbukumbu la Torati 27:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nawe utaandika juu yake maneno yote ya sheria hii+ utakapokuwa umevuka,+ ili uingie katika nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe, nchi inayotiririka maziwa na asali, kulingana na yale ambayo Yehova Mungu wa mababu zako amesema nawe.+

  • Malaki 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Ikumbukeni sheria ya Musa mtumishi wangu niliyomwamuru katika Horebu kuhusu Israeli wote, hata masharti na maamuzi ya hukumu.+

  • Yohana 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa sababu Sheria ilitolewa kupitia Musa,+ fadhili zisizostahiliwa+ na kweli+ zilikuja kupitia Yesu Kristo.

  • Wagalatia 3:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa sababu hiyo Sheria imekuwa mtunzaji wetu kutuongoza kwa Kristo,+ ili tutangazwe kuwa waadilifu+ kutokana na imani.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki