Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 17
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Kumbukumbu la Torati 17:1

Marejeo

  • +Law 22:20; Kum 15:21; Mal 1:8

Kumbukumbu la Torati 17:2

Marejeo

  • +Kum 4:23; 13:6; Amu 2:20

Kumbukumbu la Torati 17:3

Marejeo

  • +Kum 4:19; Yer 8:2; Eze 8:16
  • +Yer 7:18; 19:5

Kumbukumbu la Torati 17:4

Marejeo

  • +Kum 13:14; Yoh 7:51

Kumbukumbu la Torati 17:5

Marejeo

  • +Kum 13:10

Kumbukumbu la Torati 17:6

Marejeo

  • +Hes 35:30; Mt 18:16; Yoh 8:17; 2Ko 13:1; 1Ti 5:19; Ebr 10:28
  • +Kum 19:15

Kumbukumbu la Torati 17:7

Marejeo

  • +Kum 13:9
  • +Kum 13:5; 1Ko 5:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” uku. 213

Kumbukumbu la Torati 17:8

Marejeo

  • +Kum 1:17
  • +Hes 35:11
  • +1Fa 3:28; Isa 1:17; Yer 5:28
  • +1Fa 3:16
  • +Kum 12:5; Zb 122:2, 5

Kumbukumbu la Torati 17:9

Marejeo

  • +Kum 19:17; 21:5; Hag 2:11; Mal 2:7
  • +1Sa 7:16
  • +Kum 19:17; 21:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ulimwengu Usio na Vita, uku. 11

Kumbukumbu la Torati 17:11

Marejeo

  • +Mal 2:7
  • +Kum 5:32; 12:32; Yos 1:7; Met 4:27

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ulimwengu Usio na Vita, uku. 11

Kumbukumbu la Torati 17:12

Marejeo

  • +Zb 19:13; Met 11:2; Ho. 4:4
  • +Ebr 10:28
  • +Kum 13:5; 1Ko 5:13

Kumbukumbu la Torati 17:13

Marejeo

  • +Hes 15:31; Kum 13:11; 19:20

Kumbukumbu la Torati 17:14

Marejeo

  • +Kum 7:1; Yos 1:3; Zb 44:2
  • +1Sa 8:5, 20; 10:19

Kumbukumbu la Torati 17:15

Marejeo

  • +1Sa 9:17; 10:24; 16:12

Kumbukumbu la Torati 17:16

Marejeo

  • +Kum 20:1; 2Sa 8:4; Zb 20:7; Met 21:31
  • +Isa 31:1; 36:9; Eze 17:15

Kumbukumbu la Torati 17:17

Marejeo

  • +1Fa 11:3; Ne 13:26
  • +Ayu 31:24; Zb 62:10; 1Ti 6:9

Kumbukumbu la Torati 17:18

Marejeo

  • +Kum 31:9, 26; 2Fa 22:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/2007, uku. 20

    5/1/1995, kur. 12-13

    “Kila Andiko,” uku. 36

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 3/15 20

Kumbukumbu la Torati 17:19

Marejeo

  • +2Nya 34:18
  • +Kum 11:18; Zb 1:2; 119:97

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2002, kur. 12-17

    10/1/2000, uku. 8

    5/1/1995, kur. 12-13

  • Fahirishi ya Machapisho

    w02 6/15 12-17; w00 10/1 8

Kumbukumbu la Torati 17:20

Marejeo

  • +1Sa 15:17; 2Nya 32:25; Zb 131:1; Mk 10:42; 1Pe 5:5
  • +Kum 5:32; 1Sa 13:13; 1Fa 15:5
  • +Met 10:27

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/1/1995, kur. 12-13

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Kum. 17:1Law 22:20; Kum 15:21; Mal 1:8
Kum. 17:2Kum 4:23; 13:6; Amu 2:20
Kum. 17:3Kum 4:19; Yer 8:2; Eze 8:16
Kum. 17:3Yer 7:18; 19:5
Kum. 17:4Kum 13:14; Yoh 7:51
Kum. 17:5Kum 13:10
Kum. 17:6Hes 35:30; Mt 18:16; Yoh 8:17; 2Ko 13:1; 1Ti 5:19; Ebr 10:28
Kum. 17:6Kum 19:15
Kum. 17:7Kum 13:9
Kum. 17:7Kum 13:5; 1Ko 5:13
Kum. 17:8Kum 1:17
Kum. 17:8Hes 35:11
Kum. 17:81Fa 3:28; Isa 1:17; Yer 5:28
Kum. 17:81Fa 3:16
Kum. 17:8Kum 12:5; Zb 122:2, 5
Kum. 17:9Kum 19:17; 21:5; Hag 2:11; Mal 2:7
Kum. 17:91Sa 7:16
Kum. 17:9Kum 19:17; 21:5
Kum. 17:11Mal 2:7
Kum. 17:11Kum 5:32; 12:32; Yos 1:7; Met 4:27
Kum. 17:12Zb 19:13; Met 11:2; Ho. 4:4
Kum. 17:12Ebr 10:28
Kum. 17:12Kum 13:5; 1Ko 5:13
Kum. 17:13Hes 15:31; Kum 13:11; 19:20
Kum. 17:14Kum 7:1; Yos 1:3; Zb 44:2
Kum. 17:141Sa 8:5, 20; 10:19
Kum. 17:151Sa 9:17; 10:24; 16:12
Kum. 17:16Kum 20:1; 2Sa 8:4; Zb 20:7; Met 21:31
Kum. 17:16Isa 31:1; 36:9; Eze 17:15
Kum. 17:171Fa 11:3; Ne 13:26
Kum. 17:17Ayu 31:24; Zb 62:10; 1Ti 6:9
Kum. 17:18Kum 31:9, 26; 2Fa 22:8
Kum. 17:192Nya 34:18
Kum. 17:19Kum 11:18; Zb 1:2; 119:97
Kum. 17:201Sa 15:17; 2Nya 32:25; Zb 131:1; Mk 10:42; 1Pe 5:5
Kum. 17:20Kum 5:32; 1Sa 13:13; 1Fa 15:5
Kum. 17:20Met 10:27
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Kumbukumbu la Torati 17:1-20

Kumbukumbu la Torati

17 “Usimtolee Yehova Mungu wako dhabihu ya ng’ombe-dume au kondoo mwenye kasoro, kitu chochote kibaya; kwa sababu ni chukizo kwa Yehova Mungu wako.+

2 “Ikiwa atapatikana katikati yako katika moja la majiji yako ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe, mwanamume au mwanamke atakayekuwa na mazoea ya kufanya mabaya machoni pa Yehova Mungu wako na kuvunja agano lake,+ 3 naye aende na kuabudu miungu mingine na kuinamia hiyo au jua au mwezi au jeshi lote la mbinguni,+ jambo ambalo sijaamuru,+ 4 nawe umeambiwa, ukasikia, ukatafuta kabisa, na, tazama! jambo hilo limethibitishwa kuwa kweli,+ jambo hilo lenye kuchukiza limefanywa katika Israeli! 5 utamtoa nje ya malango yako mwanamume huyo au mwanamke huyo ambaye amefanya jambo hilo baya, naam, mwanamume huyo au mwanamke huyo, nawe utampiga kwa mawe mtu huyo, naye lazima afe.+ 6 Kwa kinywa cha mashahidi wawili au cha mashahidi watatu+ anayekufa atauawa. Hatauawa kwa kinywa cha shahidi mmoja.+ 7 Mkono wa mashahidi kwanza kabisa unapaswa kuja juu yake ili kumuua, na mkono wa watu wote baadaye;+ nawe utakiondolea mbali kilicho kibaya kutoka katikati yako.+

8 “Ikiwa jambo la uamuzi wa hukumu litakuwa lisilo la kawaida kwako,+ ambamo damu imemwagwa,+ ambamo dai halali limezushwa,+ au tendo lenye jeuri limefanywa, mambo ya mzozo,+ ndani ya malango yako, utaondoka pia na kwenda mahali ambapo Yehova Mungu wako atapachagua,+ 9 nawe utaenda kwa makuhani+ Walawi, na kwa mwamuzi+ atakayekuwa akitenda siku hizo, nawe utauliza, nao watakupa neno la uamuzi wa hukumu.+ 10 Kisha utafanya kulingana na lile neno watakalokupa kutoka mahali hapo ambapo Yehova atachagua; nawe utakuwa mwangalifu kufanya kulingana na yote watakayokuagiza. 11 Kulingana na sheria watakayokuonyesha, na kulingana na uamuzi wa hukumu watakaokuambia, unapaswa kufanya.+ Usigeuke kando ya neno watakalokupa, upande wa kuume au upande wa kushoto.+ 12 Na mtu atakayejiendesha kwa kimbelembele kwa kutomsikiliza kuhani anayesimama ili kuhudumu hapo kwa Yehova Mungu wako au kwa mwamuzi,+ mtu huyo lazima afe;+ nawe utaondolea mbali kilicho kibaya kutoka Israeli.+ 13 Nao watu wote watasikia na kuogopa,+ nao hawatatenda kwa kimbelembele tena.

14 “Mwishowe utakapoingia katika nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe, nawe uwe umeimiliki na kukaa ndani yake,+ nawe uwe umesema, ‘Acha niweke mfalme juu yangu kama mataifa yote yanayonizunguka’;+ 15 utaweka juu yako mfalme ambaye Yehova Mungu wako atachagua.+ Kutoka katikati ya ndugu zako utaweka mfalme juu yako. Hutaruhusiwa kuweka juu yako mgeni ambaye si ndugu yako. 16 Ila tu asiongeze farasi kwa ajili yake,+ wala kuwafanya watu warudi Misri ili kuongeza farasi;+ huku Yehova amewaambia ninyi, ‘Msirudi kamwe tena katika njia hii.’ 17 Pia asizidishe wake kwa ajili yake, ili moyo wake usigeuke kando;+ wala asijiongezee sana fedha na dhahabu.+ 18 Na itatukia kwamba atakapoketi kwenye kiti chake cha ufalme, atajiandikia katika kitabu nakala ya sheria hii kutoka katika ile iliyo mkononi mwa makuhani Walawi.+

19 “Naye atakaa nacho, na kukisoma siku zote za maisha yake,+ kusudi ajifunze kumwogopa Yehova Mungu wake ili apate kushika maneno yote ya sheria hii na masharti haya kwa kuyafanya;+ 20 ili moyo wake usijiinue juu ya ndugu zake+ naye asigeuke kando kutoka kwenye amri kwenda upande wa kuume au upande wa kushoto,+ ili arefushe siku zake juu ya ufalme wake,+ yeye na wanawe katikati ya Israeli.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki