Hesabu 35:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 “‘Kila mwenye kupiga nafsi na kuiua anapaswa kuuawa akiwa muuaji wa kukusudia+ kwa kinywa cha mashahidi,+ na shahidi mmoja hawezi kutoa ushuhuda juu ya nafsi ili afe. Mathayo 18:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Lakini asiposikiliza, chukua pamoja nawe mmoja au wawili zaidi, ili kwa kinywa cha mashahidi wawili au watatu kila jambo lipate kuthibitishwa.+ Yohana 8:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Pia, katika Sheria yenu wenyewe imeandikwa, ‘Ushahidi wa watu wawili ni wa kweli.’+ 2 Wakorintho 13:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hii ndiyo mara ya tatu+ ambayo ninakuja kwenu. “Kwa kinywa cha mashahidi wawili au cha watatu kila jambo litathibitishwa.”+ 1 Timotheo 5:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Usikubali shtaka juu ya mwanamume mzee, isipokuwa tu kwa ushuhuda wa mashahidi wawili au watatu.+ Waebrania 10:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Mtu yeyote ambaye ameipuuza sheria ya Musa hufa bila huruma, kwa ushuhuda wa watu wawili au watatu.+
30 “‘Kila mwenye kupiga nafsi na kuiua anapaswa kuuawa akiwa muuaji wa kukusudia+ kwa kinywa cha mashahidi,+ na shahidi mmoja hawezi kutoa ushuhuda juu ya nafsi ili afe.
16 Lakini asiposikiliza, chukua pamoja nawe mmoja au wawili zaidi, ili kwa kinywa cha mashahidi wawili au watatu kila jambo lipate kuthibitishwa.+
13 Hii ndiyo mara ya tatu+ ambayo ninakuja kwenu. “Kwa kinywa cha mashahidi wawili au cha watatu kila jambo litathibitishwa.”+
28 Mtu yeyote ambaye ameipuuza sheria ya Musa hufa bila huruma, kwa ushuhuda wa watu wawili au watatu.+