Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wakorintho 13
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Wakorintho 13:1

Marejeo

  • +2Ko 12:14
  • +Hes 35:30; Kum 19:15; Mt 18:16; Yoh 8:17

2 Wakorintho 13:2

Marejeo

  • +2Ko 1:23; 10:2; 12:21

2 Wakorintho 13:3

Marejeo

  • +Ro 15:18; 1Ko 5:4

2 Wakorintho 13:4

Marejeo

  • +1Ko 2:2
  • +Flp 2:7
  • +Ro 6:4
  • +2Ti 2:12; 1Pe 3:18
  • +1Ko 1:18; 6:14

2 Wakorintho 13:5

Marejeo

  • +1Ko 11:28; Gal 6:4
  • +Ro 8:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    3/2024, kur. 12-13

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    1/2023, uku. 10

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    1/2018, uku. 13

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/2014, uku. 11

    3/15/2014, uku. 13

    7/15/2008, uku. 28

    7/15/2005, kur. 21-25

    2/15/2005, uku. 13

    9/15/2002, uku. 18

    4/15/1999, kur. 19-20

    1/15/1998, kur. 14-15

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 7/15 28; w05 2/15 13; w05 7/15 21-25; w02 9/15 18; w99 4/15 19-20; w98 1/15 14-15

2 Wakorintho 13:7

Marejeo

  • +Ro 1:9; Flp 1:4, 9; Kol 1:3; 1Th 1:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/1990, kur. 21-22

2 Wakorintho 13:8

Marejeo

  • +Mdo 4:20; 1Ko 13:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/1997, kur. 8-9

  • Fahirishi ya Machapisho

    w97 6/1 9

2 Wakorintho 13:9

Marejeo

  • +1Ko 4:10
  • +1Th 3:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/1990, kur. 29-31

2 Wakorintho 13:10

Marejeo

  • +1Ko 4:21; 2Ko 10:6
  • +Tit 1:13

2 Wakorintho 13:11

Marejeo

  • +2Ko 1:4, 6
  • +Flp 2:2
  • +1Th 5:13; Yak 3:17; 1Pe 3:11; 2Pe 3:14
  • +Ro 15:33; 1Ko 14:33; 1Th 5:23

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    11/2020, kur. 18-23

    Mnara wa Mlinzi,

    9/1/2008, uku. 5

    6/1/1996, uku. 25

    3/1/1991, kur. 21-22

    11/1/1990, kur. 29-31

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 9/1 5; w96 6/1 25

2 Wakorintho 13:12

Marejeo

  • +Ro 16:16; 1Th 5:26; 1Pe 5:14

2 Wakorintho 13:14

Marejeo

  • +Flp 2:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Utatu, uku. 23

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Kor. 13:12Ko 12:14
2 Kor. 13:1Hes 35:30; Kum 19:15; Mt 18:16; Yoh 8:17
2 Kor. 13:22Ko 1:23; 10:2; 12:21
2 Kor. 13:3Ro 15:18; 1Ko 5:4
2 Kor. 13:41Ko 2:2
2 Kor. 13:4Flp 2:7
2 Kor. 13:4Ro 6:4
2 Kor. 13:42Ti 2:12; 1Pe 3:18
2 Kor. 13:41Ko 1:18; 6:14
2 Kor. 13:51Ko 11:28; Gal 6:4
2 Kor. 13:5Ro 8:10
2 Kor. 13:7Ro 1:9; Flp 1:4, 9; Kol 1:3; 1Th 1:2
2 Kor. 13:8Mdo 4:20; 1Ko 13:6
2 Kor. 13:91Ko 4:10
2 Kor. 13:91Th 3:10
2 Kor. 13:101Ko 4:21; 2Ko 10:6
2 Kor. 13:10Tit 1:13
2 Kor. 13:112Ko 1:4, 6
2 Kor. 13:11Flp 2:2
2 Kor. 13:111Th 5:13; Yak 3:17; 1Pe 3:11; 2Pe 3:14
2 Kor. 13:11Ro 15:33; 1Ko 14:33; 1Th 5:23
2 Kor. 13:12Ro 16:16; 1Th 5:26; 1Pe 5:14
2 Kor. 13:14Flp 2:1
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Wakorintho 13:1-14

2 Wakorintho

13 Hii ndiyo mara ya tatu+ ambayo ninakuja kwenu. “Kwa kinywa cha mashahidi wawili au cha watatu kila jambo litathibitishwa.”+ 2 Nimesema hapo mwanzoni na, kana kwamba nipo mara ya pili lakini sipo sasa, nawaambia kimbele wale ambao wametenda dhambi hapo mwanzoni na kwa wengine wote, kwamba ikiwa nitakuja tena sitahurumia,+ 3 kwa kuwa mnatafuta uthibitisho wa Kristo akisema ndani yangu,+ Kristo ambaye si dhaifu kuwaelekea ninyi bali ni mwenye nguvu kati yenu. 4 Ni kweli, yeye alitundikwa mtini+ kwa sababu ya udhaifu,+ lakini yeye yuko hai kwa sababu ya nguvu za Mungu.+ Ni kweli, pia, sisi ni dhaifu pamoja naye,+ lakini tutaishi pamoja naye kwa sababu ya nguvu za Mungu+ kuwaelekea ninyi.

5 Endeleeni kujijaribu kama ninyi mko katika imani, endeleeni kuthibitisha ninyi wenyewe jinsi mlivyo.+ Au je, hamtambui kwamba Yesu Kristo yumo katika muungano pamoja na ninyi?+ Isipokuwa muwe mmekataliwa. 6 Kwa kweli natumaini mtajua kwamba sisi hatujakataliwa.

7 Basi tunasali+ kwa Mungu kwamba msifanye kosa, si kwamba sisi wenyewe tuonekane kuwa waliokubaliwa, bali kwamba muwe mkifanya yaliyo mazuri, ingawa sisi wenyewe huenda tukaonekana kuwa waliokataliwa. 8 Kwa maana hatuwezi kufanya jambo lolote kinyume cha kweli, bali kwa ajili ya kweli.+ 9 Hakika sisi hushangilia wakati wowote tunapokuwa dhaifu lakini ninyi ni wenye nguvu;+ nasi tunasali+ kwa ajili ya jambo hili, mrekebishwe upya. 10 Hiyo ndiyo sababu naandika mambo haya nikiwa sipo, ili, nitakapokuwapo, nisitende kwa ukali+ kulingana na mamlaka ambayo Bwana alinipa, ili kujenga+ na si kubomoa.

11 Mwishowe, akina ndugu, endeleeni kushangilia, kurekebishwa upya, kufarijiwa,+ kufikiri kwa upatano,+ kuishi kwa amani;+ na Mungu wa upendo na wa amani+ atakuwa pamoja nanyi. 12 Salimianeni kwa busu takatifu.+ 13 Watakatifu wote wanawatumia ninyi salamu zao.

14 Fadhili zisizostahiliwa za Bwana Yesu Kristo na upendo wa Mungu na ushirika katika roho takatifu ziwe pamoja na ninyi nyote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki