Waroma 15:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Mungu anayetoa amani na awe pamoja nanyi nyote.+ Amina. 1 Wakorintho 14:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Kwa maana Mungu si Mungu wa machafuko,+ bali ni wa amani.+ Kama ilivyo katika makutaniko yote ya watakatifu, 1 Wathesalonike 5:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yule Mungu wa amani+ na awatakase ninyi kikamilifu.+ Na vikiwa timamu katika kila jambo, roho na nafsi na mwili wenu akina ndugu na vihifadhiwe kwa namna isiyo na lawama wakati wa kuwapo kwa Bwana wetu Yesu Kristo.+
33 Kwa maana Mungu si Mungu wa machafuko,+ bali ni wa amani.+ Kama ilivyo katika makutaniko yote ya watakatifu,
23 Yule Mungu wa amani+ na awatakase ninyi kikamilifu.+ Na vikiwa timamu katika kila jambo, roho na nafsi na mwili wenu akina ndugu na vihifadhiwe kwa namna isiyo na lawama wakati wa kuwapo kwa Bwana wetu Yesu Kristo.+