Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Marko 5:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Yesu akamwambia: “Binti yangu, imani yako imekuponya. Nenda kwa amani,+ na uwe na afya njema kutokana na ugonjwa wako wenye kuhuzunisha.”+

  • Luka 1:79
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 79 kuwapa nuru wale wanaokaa katika giza na katika kivuli+ cha kifo, kuelekeza kwa mafanikio miguu yetu katika njia ya amani.”

  • 1 Wakorintho 14:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Kwa maana Mungu si Mungu wa machafuko,+ bali ni wa amani.+

      Kama ilivyo katika makutaniko yote ya watakatifu,

  • Wafilipi 4:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Mambo mliyojifunza na vilevile mkayapokea na kuyasikia na kuyaona kuhusiana nami, mzoee kuyafanya hayo;+ na Mungu wa amani+ atakuwa pamoja nanyi.

  • 1 Wathesalonike 5:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Yule Mungu wa amani+ na awatakase ninyi kikamilifu.+ Na vikiwa timamu katika kila jambo, roho na nafsi na mwili wenu akina ndugu na vihifadhiwe kwa namna isiyo na lawama wakati wa kuwapo kwa Bwana wetu Yesu Kristo.+

  • Waebrania 13:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Basi Mungu wa amani,+ aliyemrudisha kutoka kwa wafu+ mchungaji+ mkuu wa kondoo+ kwa damu ya agano linalodumu milele,+ Bwana wetu Yesu,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki