Marko 5:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Yesu akamwambia: “Binti yangu, imani yako imekuponya. Nenda kwa amani,+ na uwe na afya njema kutokana na ugonjwa wako wenye kuhuzunisha.”+ Luka 1:79 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 79 kuwapa nuru wale wanaokaa katika giza na katika kivuli+ cha kifo, kuelekeza kwa mafanikio miguu yetu katika njia ya amani.” 1 Wakorintho 14:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Kwa maana Mungu si Mungu wa machafuko,+ bali ni wa amani.+ Kama ilivyo katika makutaniko yote ya watakatifu, Wafilipi 4:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mambo mliyojifunza na vilevile mkayapokea na kuyasikia na kuyaona kuhusiana nami, mzoee kuyafanya hayo;+ na Mungu wa amani+ atakuwa pamoja nanyi. 1 Wathesalonike 5:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yule Mungu wa amani+ na awatakase ninyi kikamilifu.+ Na vikiwa timamu katika kila jambo, roho na nafsi na mwili wenu akina ndugu na vihifadhiwe kwa namna isiyo na lawama wakati wa kuwapo kwa Bwana wetu Yesu Kristo.+ Waebrania 13:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Basi Mungu wa amani,+ aliyemrudisha kutoka kwa wafu+ mchungaji+ mkuu wa kondoo+ kwa damu ya agano linalodumu milele,+ Bwana wetu Yesu,
34 Yesu akamwambia: “Binti yangu, imani yako imekuponya. Nenda kwa amani,+ na uwe na afya njema kutokana na ugonjwa wako wenye kuhuzunisha.”+
79 kuwapa nuru wale wanaokaa katika giza na katika kivuli+ cha kifo, kuelekeza kwa mafanikio miguu yetu katika njia ya amani.”
33 Kwa maana Mungu si Mungu wa machafuko,+ bali ni wa amani.+ Kama ilivyo katika makutaniko yote ya watakatifu,
9 Mambo mliyojifunza na vilevile mkayapokea na kuyasikia na kuyaona kuhusiana nami, mzoee kuyafanya hayo;+ na Mungu wa amani+ atakuwa pamoja nanyi.
23 Yule Mungu wa amani+ na awatakase ninyi kikamilifu.+ Na vikiwa timamu katika kila jambo, roho na nafsi na mwili wenu akina ndugu na vihifadhiwe kwa namna isiyo na lawama wakati wa kuwapo kwa Bwana wetu Yesu Kristo.+
20 Basi Mungu wa amani,+ aliyemrudisha kutoka kwa wafu+ mchungaji+ mkuu wa kondoo+ kwa damu ya agano linalodumu milele,+ Bwana wetu Yesu,