Zaburi 79:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na sisi watu wako na kundi la malisho yako,+Tutakushukuru mpaka wakati usio na kipimo;Kutoka kizazi mpaka kizazi tutatangaza sifa yako.+ Yohana 10:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa hiyo Yesu akasema tena: “Kwa kweli ninawaambia ninyi, Mimi ndiye mlango+ wa kondoo.
13 Na sisi watu wako na kundi la malisho yako,+Tutakushukuru mpaka wakati usio na kipimo;Kutoka kizazi mpaka kizazi tutatangaza sifa yako.+