Waroma 15:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Mungu anayetoa amani na awe pamoja nanyi nyote.+ Amina. 1 Wakorintho 14:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Kwa maana Mungu si Mungu wa machafuko,+ bali ni wa amani.+ Kama ilivyo katika makutaniko yote ya watakatifu, Waebrania 13:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Basi Mungu wa amani,+ aliyemrudisha kutoka kwa wafu+ mchungaji+ mkuu wa kondoo+ kwa damu ya agano linalodumu milele,+ Bwana wetu Yesu,
33 Kwa maana Mungu si Mungu wa machafuko,+ bali ni wa amani.+ Kama ilivyo katika makutaniko yote ya watakatifu,
20 Basi Mungu wa amani,+ aliyemrudisha kutoka kwa wafu+ mchungaji+ mkuu wa kondoo+ kwa damu ya agano linalodumu milele,+ Bwana wetu Yesu,