1 Wakorintho 11:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwanza acheni mtu ajichunguze mwenyewe na kuona kama anafaa,+ na basi ale mkate na anywe kikombe. Wagalatia 6:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Lakini kila mmoja na athibitishe kazi yake mwenyewe ni nini,+ kisha atakuwa na sababu ya kufurahi kwa habari yake mwenyewe peke yake, na si kwa kujilinganisha+ na mtu yule mwingine.
4 Lakini kila mmoja na athibitishe kazi yake mwenyewe ni nini,+ kisha atakuwa na sababu ya kufurahi kwa habari yake mwenyewe peke yake, na si kwa kujilinganisha+ na mtu yule mwingine.