Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorintho 11
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Wakorintho 11:1

Marejeo

  • +Flp 3:17; 2Th 3:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    12/15/2010, uku. 12

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 12/15 12

1 Wakorintho 11:2

Marejeo

  • +1Ko 4:17; 2Th 2:15; 3:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/1/1995, kur. 3-4

    12/1/1988, uku. 6

1 Wakorintho 11:3

Marejeo

  • +Ro 14:9; Efe 4:15; Kol 2:10
  • +Mwa 3:16; Efe 5:23; 1Pe 3:1
  • +1Ko 15:27, 28

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    2/2021, kur. 2-3

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2015, kur. 22-23

    5/15/2010, kur. 8-16

    5/15/2009, uku. 20

    2/15/2007, kur. 13-17

    1/15/2007, uku. 6

    8/1/1999, kur. 19-20

    9/1/1998, uku. 15

    6/1/1995, uku. 27

    7/1/1994, uku. 21

    Amkeni!,

    7/8/2004, kur. 26-27

    12/8/1996, uku. 15

    Mwabudu Mungu, kur. 153-154

    Furaha ya Familia, kur. 31-32

    Ujuzi, kur. 134-136

    Kuishi Milele, uku. 240

    Kutoa Sababu, uku. 373

    Amani na Usalama, kur. 136-138

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 5/15 8-16; w09 5/15 20; w07 1/15 6; w07 2/15 13-17; rs 373; g04 7/8 26-27; wt 154; w99 8/1 19; w98 9/1 15; fy 31-32; g96 12/8 15

1 Wakorintho 11:4

Marejeo

  • +Efe 4:15

1 Wakorintho 11:5

Marejeo

  • +Yoe 2:28; Mdo 21:9
  • +Efe 5:23
  • +Yer 7:29; 1Ko 11:15

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Upendo wa Mungu,” kur. 209-210

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2009, kur. 12-13

    7/15/2002, kur. 26-27

    Kutoa Sababu, kur. 402-404

  • Fahirishi ya Machapisho

    lv 209-210; rs 402-404; w02 7/15 26-27

1 Wakorintho 11:6

Marejeo

  • +Kum 21:12
  • +Mwa 24:65

1 Wakorintho 11:7

Marejeo

  • +Mwa 1:27; Yak 3:9
  • +Ro 3:23
  • +Mwa 2:23

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Kutoa Sababu, kur. 402-403

  • Fahirishi ya Machapisho

    rs 402-403

1 Wakorintho 11:8

Marejeo

  • +Mwa 2:22

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Kutoa Sababu, kur. 402-403

  • Fahirishi ya Machapisho

    rs 402-403

1 Wakorintho 11:9

Marejeo

  • +Mwa 2:18

1 Wakorintho 11:10

Marejeo

  • +Mwa 24:65
  • +Mhu 5:6; 1Ko 4:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Upendo wa Mungu,” kur. 211-212

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/2009, uku. 24

    7/15/2002, uku. 27

    Kutoa Sababu, kur. 402-403

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 5/15 24; lv 211-212; rs 402-403; w02 7/15 27

1 Wakorintho 11:11

Marejeo

  • +Mwa 2:24

1 Wakorintho 11:12

Marejeo

  • +Mwa 2:21
  • +Mwa 3:16; Ayu 14:1
  • +2Ko 5:18

1 Wakorintho 11:15

Marejeo

  • +Wim 7:5
  • +Yer 13:18

1 Wakorintho 11:16

Marejeo

  • +1Ti 6:4
  • +Ro 2:8

1 Wakorintho 11:17

Marejeo

  • +1Ko 11:22

1 Wakorintho 11:18

Marejeo

  • +1Ko 1:10; 3:3

1 Wakorintho 11:19

Marejeo

  • +Mdo 20:30; 1Ko 1:12; Gal 5:20; 1Ti 4:1; 2Pe 2:1
  • +Kum 13:3; Lu 2:35; 1Yo 2:19

1 Wakorintho 11:20

Marejeo

  • +Lu 22:19

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 28

1 Wakorintho 11:21

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1990, uku. 15

1 Wakorintho 11:22

Marejeo

  • +1Ko 11:34
  • +Yak 2:5

1 Wakorintho 11:23

Marejeo

  • +Mt 26:20; Lu 22:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/2004, uku. 4

    2/15/2003, kur. 12-13

    3/15/1993, uku. 4

    2/15/1990, uku. 15

  • Fahirishi ya Machapisho

    w04 3/15 4; w03 2/15 12-13

1 Wakorintho 11:24

Marejeo

  • +Mt 26:26; Mk 14:22
  • +Ro 7:4; 12:5; 1Ko 10:17; 12:27; Efe 4:12
  • +Lu 22:19

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/2013, kur. 24-25

    3/15/2004, uku. 4

    3/15/1994, kur. 3-4

    3/15/1993, kur. 5-6

    2/15/1990, uku. 15

  • Fahirishi ya Machapisho

    w04 3/15 4

1 Wakorintho 11:25

Marejeo

  • +Mt 26:27; Mk 14:23; 1Ko 10:16
  • +Yer 31:31; Ebr 8:8; 9:15
  • +Lu 22:20; Ebr 9:14; 12:24; 1Pe 1:2, 19
  • +Kut 12:14; Zb 119:24, 144

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali Yanayoulizwa Mara Nyingi Kuhusu Mashahidi wa Yehova,

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/2013, uku. 25

    1/1/2003, uku. 31

    3/15/1994, kur. 3-4

    3/15/1993, uku. 6

    2/15/1990, uku. 15

  • Fahirishi ya Machapisho

    w03 1/1 31

1 Wakorintho 11:26

Marejeo

  • +Ebr 9:25
  • +Efe 1:7; Ebr 9:15
  • +1Th 4:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali Yanayoulizwa Mara Nyingi Kuhusu Mashahidi wa Yehova,

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    1/2018, uku. 16

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    3/15/2010, uku. 27

    7/15/2008, uku. 27

    3/15/2004, kur. 6-7

    4/1/2003, uku. 6

    2/15/2003, uku. 13

    1/1/2003, uku. 31

    3/15/1993, kur. 4-5

    2/15/1990, uku. 10

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 3/15 27; w08 7/15 27; w04 3/15 6-7; w03 1/1 31; w03 2/15 13; w03 4/1 6

1 Wakorintho 11:27

Marejeo

  • +Mk 3:29
  • +Ebr 10:29

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    1/2020, kur. 27-28

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    1/2016, uku. 23

    Mnara wa Mlinzi,

    1/15/2015, kur. 15-16

    2/15/2003, kur. 17-19

    4/1/1996, kur. 6-8

  • Fahirishi ya Machapisho

    w03 2/15 17-19; w96 4/1 6-8

1 Wakorintho 11:28

Marejeo

  • +2Ko 13:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    1/15/2015, uku. 15

    3/15/1991, kur. 21-22

1 Wakorintho 11:29

Marejeo

  • +Ro 2:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1990, uku. 15

1 Wakorintho 11:30

Marejeo

  • +Efe 5:14; 1Th 5:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    1/15/2015, uku. 15

1 Wakorintho 11:31

Marejeo

  • +Ufu 3:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1990, uku. 15

1 Wakorintho 11:32

Marejeo

  • +2Ko 5:10
  • +Met 3:11; Ebr 12:5
  • +2Pe 2:20
  • +2Pe 3:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 137

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1990, uku. 15

1 Wakorintho 11:33

Marejeo

  • +Mt 26:26

1 Wakorintho 11:34

Marejeo

  • +1Ko 11:22
  • +1Ko 11:29

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Kor. 11:1Flp 3:17; 2Th 3:9
1 Kor. 11:21Ko 4:17; 2Th 2:15; 3:6
1 Kor. 11:3Ro 14:9; Efe 4:15; Kol 2:10
1 Kor. 11:3Mwa 3:16; Efe 5:23; 1Pe 3:1
1 Kor. 11:31Ko 15:27, 28
1 Kor. 11:4Efe 4:15
1 Kor. 11:5Yoe 2:28; Mdo 21:9
1 Kor. 11:5Efe 5:23
1 Kor. 11:5Yer 7:29; 1Ko 11:15
1 Kor. 11:6Kum 21:12
1 Kor. 11:6Mwa 24:65
1 Kor. 11:7Mwa 1:27; Yak 3:9
1 Kor. 11:7Ro 3:23
1 Kor. 11:7Mwa 2:23
1 Kor. 11:8Mwa 2:22
1 Kor. 11:9Mwa 2:18
1 Kor. 11:10Mwa 24:65
1 Kor. 11:10Mhu 5:6; 1Ko 4:9
1 Kor. 11:11Mwa 2:24
1 Kor. 11:12Mwa 2:21
1 Kor. 11:12Mwa 3:16; Ayu 14:1
1 Kor. 11:122Ko 5:18
1 Kor. 11:15Wim 7:5
1 Kor. 11:15Yer 13:18
1 Kor. 11:161Ti 6:4
1 Kor. 11:16Ro 2:8
1 Kor. 11:171Ko 11:22
1 Kor. 11:181Ko 1:10; 3:3
1 Kor. 11:19Mdo 20:30; 1Ko 1:12; Gal 5:20; 1Ti 4:1; 2Pe 2:1
1 Kor. 11:19Kum 13:3; Lu 2:35; 1Yo 2:19
1 Kor. 11:20Lu 22:19
1 Kor. 11:221Ko 11:34
1 Kor. 11:22Yak 2:5
1 Kor. 11:23Mt 26:20; Lu 22:14
1 Kor. 11:24Mt 26:26; Mk 14:22
1 Kor. 11:24Ro 7:4; 12:5; 1Ko 10:17; 12:27; Efe 4:12
1 Kor. 11:24Lu 22:19
1 Kor. 11:25Mt 26:27; Mk 14:23; 1Ko 10:16
1 Kor. 11:25Yer 31:31; Ebr 8:8; 9:15
1 Kor. 11:25Lu 22:20; Ebr 9:14; 12:24; 1Pe 1:2, 19
1 Kor. 11:25Kut 12:14; Zb 119:24, 144
1 Kor. 11:26Ebr 9:25
1 Kor. 11:26Efe 1:7; Ebr 9:15
1 Kor. 11:261Th 4:17
1 Kor. 11:27Mk 3:29
1 Kor. 11:27Ebr 10:29
1 Kor. 11:282Ko 13:5
1 Kor. 11:29Ro 2:2
1 Kor. 11:30Efe 5:14; 1Th 5:6
1 Kor. 11:31Ufu 3:3
1 Kor. 11:322Ko 5:10
1 Kor. 11:32Met 3:11; Ebr 12:5
1 Kor. 11:322Pe 2:20
1 Kor. 11:322Pe 3:7
1 Kor. 11:33Mt 26:26
1 Kor. 11:341Ko 11:22
1 Kor. 11:341Ko 11:29
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Wakorintho 11:1-34

1 Wakorintho

11 Iweni waigaji wangu, kama vile mimi nilivyo mwigaji wa Kristo.+

2 Sasa nawasifu ninyi kwa sababu katika mambo yote mnanikumbuka na mnayashika sana mapokeo+ kama vile nilivyowapa ninyi. 3 Lakini nataka mjue kwamba kichwa cha kila mwanamume ni Kristo;+ nacho kichwa cha mwanamke ni mwanamume;+ nacho kichwa cha Kristo ni Mungu.+ 4 Kila mwanamume ambaye husali au kutoa unabii akiwa na kitu juu ya kichwa chake hukiaibisha kichwa chake;+ 5 lakini kila mwanamke ambaye husali au kutoa unabii+ kichwa chake kikiwa hakijafunikwa hukiaibisha kichwa chake,+ kwa maana ni kana kwamba yeye ni mwanamke mwenye kichwa kilichonyolewa.+ 6 Kwa maana ikiwa mwanamke hajifuniki, na akatwe nywele pia; lakini ikiwa inafedhehesha kwa mwanamke kukatwa nywele au kunyolewa,+ basi na afunikwe.+

7 Kwa maana mwanamume hapaswi kufunika kichwa chake, kwa kuwa yeye ni mfano+ na utukufu wa Mungu;+ lakini mwanamke ni utukufu wa mwanamume.+ 8 Kwa maana mwanamume hakutoka katika mwanamke, bali mwanamke alitoka katika mwanamume;+ 9 na, zaidi ya hayo, mwanamume hakuumbwa kwa ajili ya mwanamke, bali mwanamke kwa ajili ya mwanamume.+ 10 Ndiyo sababu mwanamke anapaswa kuwa na ishara ya mamlaka juu ya kichwa chake+ kwa sababu ya malaika.+

11 Tena, kuhusiana na Bwana mwanamke si bila mwanamume wala mwanamume si bila mwanamke.+ 12 Kwa maana kama vile mwanamke ametoka katika mwanamume,+ vivyo hivyo pia mwanamume amepitia katika mwanamke;+ lakini vitu vyote vimetoka kwa Mungu.+ 13 Hukumuni ninyi wenyewe: Je, inafaa mwanamke kusali kwa Mungu pasipo kichwa chake kufunikwa? 14 Je, maumbile yenyewe hayawafundishi ninyi kwamba mwanamume akiwa na nywele ndefu, ni aibu kwake; 15 lakini mwanamke akiwa na nywele ndefu, ni utukufu+ kwake? Kwa sababu yeye amepewa nywele zake ziwe badala ya vazi la kichwani.+ 16 Hata hivyo, mtu yeyote akiwa na mwelekeo wa kubishania+ desturi fulani nyingine,+ sisi hatuna nyingine, wala makutaniko ya Mungu.

17 Lakini, ninapoyatoa maagizo haya, siwasifu ninyi kwa sababu mnakutana pamoja, si kwa ajili ya wema, bali kwa ajili ya ubaya kabisa.+ 18 Kwa maana kwanza kabisa, mnapokuja pamoja katika kutaniko, nasikia kwamba kuna migawanyiko katikati yenu;+ nami naamini jambo hilo kwa kiasi fulani. 19 Kwa maana lazima pia yaweko madhehebu+ katikati yenu, ili watu waliokubaliwa wapate pia kufunuliwa katikati yenu.+

20 Kwa hiyo, mnapokuja pamoja mahali pamoja, haiwezekani kula mlo wa jioni wa Bwana.+ 21 Kwa maana, mnapoula, kila mtu hutangulia kula mlo wake mwenyewe wa jioni, hivi kwamba mmoja ana njaa lakini mwingine amelewa. 22 Je, hamna nyumba za kulia mlo na kunywea?+ Au je, mnalidharau kutaniko la Mungu na kuwaaibisha wale wasio na kitu?+ Nitawaambia ninyi nini? Je, nitawasifu ninyi? Katika hilo siwasifu ninyi.

23 Kwa maana nilipokea kutoka kwa Bwana kile nilichowapa ninyi pia, kwamba Bwana Yesu katika ule usiku+ aliokuwa akienda kutolewa alichukua mkate 24 na, baada ya kutoa shukrani, akaumega+ na kusema: “Huu unamaanisha mwili+ wangu ambao ni kwa ajili yenu. Endeleeni kufanya hivi kwa kunikumbuka+ mimi.” 25 Akafanya vivyo hivyo kuhusu kile kikombe+ pia, baada ya yeye kula mlo wa jioni, akisema: “Kikombe hiki kinamaanisha agano jipya+ kwa msingi wa damu+ yangu. Endeleeni kufanya hivi, kila mara mnapokinywa, kwa kunikumbuka+ mimi.” 26 Kwa maana kila mara+ mnapokula mkate huu na kunywa kikombe hiki, mnaendelea kukitangaza kifo+ cha Bwana, mpaka atakapofika.+

27 Kwa hiyo yeyote anayeula mkate au kukinywa kikombe cha Bwana isivyofaa atakuwa na hatia+ kuhusiana na mwili na damu+ ya Bwana. 28 Kwanza acheni mtu ajichunguze mwenyewe na kuona kama anafaa,+ na basi ale mkate na anywe kikombe. 29 Kwa maana yeye anayekula na kunywa anakula na kunywa hukumu+ juu yake mwenyewe ikiwa hautambui mwili. 30 Ndiyo sababu wengi katikati yenu ni dhaifu na wagonjwa-wagonjwa, na wengi wamelala+ katika kifo. 31 Lakini kama tungalitambua sisi wenyewe ni nani, hatungalihukumiwa.+ 32 Hata hivyo, tunapohukumiwa,+ Yehova+ anatutia nidhamu, ili tusihukumiwe+ pamoja na ulimwengu.+ 33 Kwa hiyo, ndugu zangu, mnapokuja pamoja kula mlo huo,+ mngojeane. 34 Ikiwa yeyote ana njaa, acheni ale nyumbani,+ ili msije pamoja kwa ajili ya kuhukumiwa.+ Lakini mambo yaliyobaki nitayarekebisha nitakapofika.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki