Mathayo 26:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Pia, akachukua kikombe+ na, akiisha kushukuru, akawapa, akisema: “Kinyweeni, ninyi nyote;+ Marko 14:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Naye akichukua kikombe, akashukuru akawapa, nao wote wakakinywea.+ 1 Wakorintho 10:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kikombe+ cha baraka ambacho tunabariki, je, hicho si kushiriki katika damu ya Kristo? Ule mkate ambao tunamega,+ je, huo si kushiriki katika mwili wa Kristo?+
16 Kikombe+ cha baraka ambacho tunabariki, je, hicho si kushiriki katika damu ya Kristo? Ule mkate ambao tunamega,+ je, huo si kushiriki katika mwili wa Kristo?+