Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 26:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Pia, akachukua kikombe+ na, akiisha kushukuru, akawapa, akisema: “Kinyweeni, ninyi nyote;+

  • Yohana 6:53
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 53 Basi Yesu akawaambia: “Kwa kweli kabisa ninawaambia, Ninyi msipoula mwili+ wa Mwana wa binadamu na kunywa damu+ yake, hamna uzima+ ndani yenu wenyewe.

  • 1 Wakorintho 10:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kikombe+ cha baraka ambacho tunabariki, je, hicho si kushiriki katika damu ya Kristo? Ule mkate ambao tunamega,+ je, huo si kushiriki katika mwili wa Kristo?+

  • 1 Wakorintho 11:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Akafanya vivyo hivyo kuhusu kile kikombe+ pia, baada ya yeye kula mlo wa jioni, akisema: “Kikombe hiki kinamaanisha agano jipya+ kwa msingi wa damu+ yangu. Endeleeni kufanya hivi, kila mara mnapokinywa, kwa kunikumbuka+ mimi.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki