26 Walipokuwa wakiendelea kula, Yesu alichukua mkate+ na, baada ya kutoa baraka, akaumega,+ akawapa wanafunzi, akasema: “Chukueni, mle. Huu unamaanisha mwili wangu.”+
19 Pia, akachukua mkate,+ akashukuru, akaumega, akawapa, akisema: “Huu unamaanisha mwili+ wangu ambao utatolewa kwa ajili yenu.+ Endeleeni kufanya hivi kwa kunikumbuka mimi.”+