Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 12:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “‘Nao wataila hiyo nyama usiku huu.+ Wataila ikiwa imechomwa kwa moto pamoja na keki zisizo na chachu+ na pia mboga chungu za majani.+

  • Kutoka 12:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Hamtakula kitu chochote kilicho na chachu. Katika makao yenu yote mtakula keki zisizo na chachu.’”

  • Kumbukumbu la Torati 16:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Usile chochote chenye chachu pamoja nayo kwa siku saba.+ Utakula pamoja nayo keki zisizo na chachu, mkate wa mateso, kwa sababu ulitoka katika nchi ya Misri kwa haraka,+ ili ukumbuke siku ya kutoka kwako katika nchi ya Misri siku zote za maisha yako.+

  • 1 Wakorintho 10:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa sababu kuna mkate mmoja, sisi, ingawa tuko wengi,+ ni mwili mmoja,+ kwa maana sisi sote tunakula huo mkate mmoja.+

  • 1 Wakorintho 11:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kwa maana nilipokea kutoka kwa Bwana kile nilichowapa ninyi pia, kwamba Bwana Yesu katika ule usiku+ aliokuwa akienda kutolewa alichukua mkate

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki