Kutoka 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nao wakazidi kuyafanya maisha yao yawe machungu kwa utumwa mgumu wa kutengeneza saruji ya udongo+ na matofali na kwa kila namna ya utumwa shambani,+ ndiyo, kila namna ya utumwa wao ambao kwa huo waliwatumia wakiwa watumwa chini ya uonevu.+ Hesabu 9:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Katika mwezi wa pili,+ siku ya kumi na nne katikati ya zile jioni mbili, wataitayarisha. Wataila pamoja na keki zisizo na chachu na mboga chungu.+
14 Nao wakazidi kuyafanya maisha yao yawe machungu kwa utumwa mgumu wa kutengeneza saruji ya udongo+ na matofali na kwa kila namna ya utumwa shambani,+ ndiyo, kila namna ya utumwa wao ambao kwa huo waliwatumia wakiwa watumwa chini ya uonevu.+
11 Katika mwezi wa pili,+ siku ya kumi na nne katikati ya zile jioni mbili, wataitayarisha. Wataila pamoja na keki zisizo na chachu na mboga chungu.+