2 Mambo ya Nyakati 30:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Hata hivyo, mfalme na wakuu+ wake na kutaniko+ lote katika Yerusalemu wakaazimia kufanya pasaka katika mwezi wa pili;+ 2 Mambo ya Nyakati 30:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kisha wakachinja mnyama wa pasaka+ katika siku ya kumi na nne ya mwezi wa pili; na makuhani na Walawi walikuwa wametiwa aibu, hivi kwamba wakajitakasa+ na kuleta matoleo ya kuteketezwa kwenye nyumba ya Yehova.
2 Hata hivyo, mfalme na wakuu+ wake na kutaniko+ lote katika Yerusalemu wakaazimia kufanya pasaka katika mwezi wa pili;+
15 Kisha wakachinja mnyama wa pasaka+ katika siku ya kumi na nne ya mwezi wa pili; na makuhani na Walawi walikuwa wametiwa aibu, hivi kwamba wakajitakasa+ na kuleta matoleo ya kuteketezwa kwenye nyumba ya Yehova.