Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 30
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Mambo ya Nyakati 30:1

Marejeo

  • +2Nya 11:16
  • +Yos 16:4; 2Nya 17:2; 34:6; Ho. 11:8
  • +Yos 17:5, 7; 2Nya 30:11
  • +Kum 16:2, 6
  • +Kut 12:43; Law 23:5; 2Nya 35:1; 1Ko 5:7

2 Mambo ya Nyakati 30:2

Marejeo

  • +1Nya 28:1
  • +1Nya 28:8
  • +Hes 9:10, 11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” uku. 83

2 Mambo ya Nyakati 30:3

Marejeo

  • +Kut 12:18
  • +2Nya 29:34

2 Mambo ya Nyakati 30:4

Marejeo

  • +1Nya 13:4

2 Mambo ya Nyakati 30:5

Marejeo

  • +2Nya 24:9; 36:22
  • +Amu 20:1
  • +Amu 18:29; 1Sa 3:20
  • +2Nya 35:18
  • +Kum 12:32

2 Mambo ya Nyakati 30:6

Marejeo

  • +Est 8:14
  • +1Nya 28:1
  • +Kum 30:10; 1Sa 7:3; Yer 4:1; Yoe 2:13; Mal 3:7
  • +Kut 3:6
  • +2Fa 15:29
  • +1Nya 5:26; 2Nya 28:20

2 Mambo ya Nyakati 30:7

Marejeo

  • +Eze 20:18; Zek 1:4
  • +2Nya 29:8

2 Mambo ya Nyakati 30:8

Marejeo

  • +Kut 32:9; Kum 10:16; 2Nya 36:13; Ro 10:21
  • +Ezr 10:11
  • +Kum 12:5
  • +Zb 132:13
  • +Kum 6:13; Yos 24:15; Mt 4:10
  • +2Nya 29:10; Zb 78:49

2 Mambo ya Nyakati 30:9

Marejeo

  • +Kum 30:2
  • +1Fa 8:50
  • +Yer 29:14
  • +Kut 34:6
  • +Ne 9:17; Zb 86:5; Mik 7:18; 2Ko 1:3
  • +2Nya 15:2; Isa 55:7; Yak 4:8

2 Mambo ya Nyakati 30:10

Marejeo

  • +Est 3:13
  • +2Nya 30:1
  • +2Nya 36:16; Mdo 17:32

2 Mambo ya Nyakati 30:11

Marejeo

  • +2Nya 11:16
  • +2Nya 12:6

2 Mambo ya Nyakati 30:12

Marejeo

  • +Yer 32:39; 1Ko 1:10
  • +Kum 4:5; Mhu 8:2; 1Th 4:2
  • +2Nya 29:25

2 Mambo ya Nyakati 30:13

Marejeo

  • +Zb 84:7
  • +Law 23:6
  • +Hes 9:10, 11

2 Mambo ya Nyakati 30:14

Marejeo

  • +2Fa 18:22; 2Nya 34:7
  • +2Nya 28:24
  • +2Sa 15:23

2 Mambo ya Nyakati 30:15

Marejeo

  • +Kut 12:3; 1Ko 5:7
  • +2Nya 5:11; 29:15

2 Mambo ya Nyakati 30:16

Marejeo

  • +2Nya 35:10
  • +Law 1:5

2 Mambo ya Nyakati 30:17

Marejeo

  • +2Nya 29:34; 35:3
  • +Kut 12:6

2 Mambo ya Nyakati 30:18

Marejeo

  • +2Nya 30:10
  • +2Nya 30:1; 34:6
  • +2Nya 30:11
  • +Hes 9:10
  • +Law 23:5
  • +Yak 5:14
  • +Zb 25:8; 86:5; Mk 10:18

2 Mambo ya Nyakati 30:19

Marejeo

  • +2Nya 19:3; Ezr 7:10; Zb 10:17
  • +Hes 9:6

2 Mambo ya Nyakati 30:20

Marejeo

  • +Zb 103:3; Isa 57:18; Yak 5:16

2 Mambo ya Nyakati 30:21

Marejeo

  • +Law 23:6; Lu 22:1; 1Ko 5:8
  • +Kum 12:7; 2Nya 7:10; Ne 8:10
  • +2Nya 29:25
  • +2Nya 29:24
  • +Zb 150:3

2 Mambo ya Nyakati 30:22

Marejeo

  • +2Nya 32:6
  • +Zb 47:7; Met 12:8
  • +Law 23:6
  • +Law 3:1
  • +Law 26:40; Ezr 10:11

2 Mambo ya Nyakati 30:23

Marejeo

  • +2Nya 30:2
  • +1Fa 8:65

2 Mambo ya Nyakati 30:24

Marejeo

  • +2Nya 35:7
  • +2Nya 35:8
  • +2Nya 29:34

2 Mambo ya Nyakati 30:25

Marejeo

  • +1Fa 12:20; 2Nya 11:1
  • +2Nya 11:13
  • +2Nya 30:11, 18
  • +Kut 12:49
  • +2Nya 15:9
  • +1Nya 16:10; Zb 92:4

2 Mambo ya Nyakati 30:26

Marejeo

  • +1Fa 8:66
  • +2Nya 7:10

2 Mambo ya Nyakati 30:27

Marejeo

  • +Hes 6:23; Kum 10:8
  • +1Fa 8:43; Zb 68:5

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Nya. 30:12Nya 11:16
2 Nya. 30:1Yos 16:4; 2Nya 17:2; 34:6; Ho. 11:8
2 Nya. 30:1Yos 17:5, 7; 2Nya 30:11
2 Nya. 30:1Kum 16:2, 6
2 Nya. 30:1Kut 12:43; Law 23:5; 2Nya 35:1; 1Ko 5:7
2 Nya. 30:21Nya 28:1
2 Nya. 30:21Nya 28:8
2 Nya. 30:2Hes 9:10, 11
2 Nya. 30:3Kut 12:18
2 Nya. 30:32Nya 29:34
2 Nya. 30:41Nya 13:4
2 Nya. 30:52Nya 24:9; 36:22
2 Nya. 30:5Amu 20:1
2 Nya. 30:5Amu 18:29; 1Sa 3:20
2 Nya. 30:52Nya 35:18
2 Nya. 30:5Kum 12:32
2 Nya. 30:6Est 8:14
2 Nya. 30:61Nya 28:1
2 Nya. 30:6Kum 30:10; 1Sa 7:3; Yer 4:1; Yoe 2:13; Mal 3:7
2 Nya. 30:6Kut 3:6
2 Nya. 30:62Fa 15:29
2 Nya. 30:61Nya 5:26; 2Nya 28:20
2 Nya. 30:7Eze 20:18; Zek 1:4
2 Nya. 30:72Nya 29:8
2 Nya. 30:8Kut 32:9; Kum 10:16; 2Nya 36:13; Ro 10:21
2 Nya. 30:8Ezr 10:11
2 Nya. 30:8Kum 12:5
2 Nya. 30:8Zb 132:13
2 Nya. 30:8Kum 6:13; Yos 24:15; Mt 4:10
2 Nya. 30:82Nya 29:10; Zb 78:49
2 Nya. 30:9Kum 30:2
2 Nya. 30:91Fa 8:50
2 Nya. 30:9Yer 29:14
2 Nya. 30:9Kut 34:6
2 Nya. 30:9Ne 9:17; Zb 86:5; Mik 7:18; 2Ko 1:3
2 Nya. 30:92Nya 15:2; Isa 55:7; Yak 4:8
2 Nya. 30:10Est 3:13
2 Nya. 30:102Nya 30:1
2 Nya. 30:102Nya 36:16; Mdo 17:32
2 Nya. 30:112Nya 11:16
2 Nya. 30:112Nya 12:6
2 Nya. 30:12Yer 32:39; 1Ko 1:10
2 Nya. 30:12Kum 4:5; Mhu 8:2; 1Th 4:2
2 Nya. 30:122Nya 29:25
2 Nya. 30:13Zb 84:7
2 Nya. 30:13Law 23:6
2 Nya. 30:13Hes 9:10, 11
2 Nya. 30:142Fa 18:22; 2Nya 34:7
2 Nya. 30:142Nya 28:24
2 Nya. 30:142Sa 15:23
2 Nya. 30:15Kut 12:3; 1Ko 5:7
2 Nya. 30:152Nya 5:11; 29:15
2 Nya. 30:162Nya 35:10
2 Nya. 30:16Law 1:5
2 Nya. 30:172Nya 29:34; 35:3
2 Nya. 30:17Kut 12:6
2 Nya. 30:182Nya 30:10
2 Nya. 30:182Nya 30:1; 34:6
2 Nya. 30:182Nya 30:11
2 Nya. 30:18Hes 9:10
2 Nya. 30:18Law 23:5
2 Nya. 30:18Yak 5:14
2 Nya. 30:18Zb 25:8; 86:5; Mk 10:18
2 Nya. 30:192Nya 19:3; Ezr 7:10; Zb 10:17
2 Nya. 30:19Hes 9:6
2 Nya. 30:20Zb 103:3; Isa 57:18; Yak 5:16
2 Nya. 30:21Law 23:6; Lu 22:1; 1Ko 5:8
2 Nya. 30:21Kum 12:7; 2Nya 7:10; Ne 8:10
2 Nya. 30:212Nya 29:25
2 Nya. 30:212Nya 29:24
2 Nya. 30:21Zb 150:3
2 Nya. 30:222Nya 32:6
2 Nya. 30:22Zb 47:7; Met 12:8
2 Nya. 30:22Law 23:6
2 Nya. 30:22Law 3:1
2 Nya. 30:22Law 26:40; Ezr 10:11
2 Nya. 30:232Nya 30:2
2 Nya. 30:231Fa 8:65
2 Nya. 30:242Nya 35:7
2 Nya. 30:242Nya 35:8
2 Nya. 30:242Nya 29:34
2 Nya. 30:251Fa 12:20; 2Nya 11:1
2 Nya. 30:252Nya 11:13
2 Nya. 30:252Nya 30:11, 18
2 Nya. 30:25Kut 12:49
2 Nya. 30:252Nya 15:9
2 Nya. 30:251Nya 16:10; Zb 92:4
2 Nya. 30:261Fa 8:66
2 Nya. 30:262Nya 7:10
2 Nya. 30:27Hes 6:23; Kum 10:8
2 Nya. 30:271Fa 8:43; Zb 68:5
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Mambo ya Nyakati 30:1-27

2 Mambo ya Nyakati

30 Na Hezekia akatuma ujumbe kwa Israeli+ wote na Yuda, na hata akaandika barua kwa Efraimu+ na Manase,+ waje Yerusalemu katika nyumba ya Yehova+ ili kumfanyia pasaka+ Yehova Mungu wa Israeli. 2 Hata hivyo, mfalme na wakuu+ wake na kutaniko+ lote katika Yerusalemu wakaazimia kufanya pasaka katika mwezi wa pili;+ 3 kwa maana hawakuweza kuifanya wakati huo,+ kwa sababu makuhani+ wa kutosha hawakuwa wamejitakasa na watu hawakuwa wamekusanyika Yerusalemu. 4 Na jambo hilo lilikuwa sawa machoni pa mfalme na machoni pa kutaniko lote.+ 5 Basi wakaamua kueneza mwito+ huo katika Israeli yote, kuanzia Beer-sheba+ mpaka Dani,+ ili waje na kufanya pasaka kwa Yehova Mungu wa Israeli katika Yerusalemu; kwa maana hawakuwa wamefanya hivyo+ wakiwa umati kulingana na yale ambayo yameandikwa.+

6 Kwa hiyo wakimbiaji+ walio na zile barua kutoka katika mkono wa mfalme na wa wakuu+ wake wakaenda katika Israeli yote na Yuda, kulingana na amri ya mfalme, na kusema: “Ninyi wana wa Israeli, rudini+ kwa Yehova Mungu+ wa Abrahamu, Isaka na Israeli, ili yeye arudi kwa wale walioponyoka+ ambao wamebaki kati yenu kutoka katika mkono wa wafalme wa Ashuru.+ 7 Na msiwe kama mababu zenu+ na kama ndugu zenu waliotenda kwa ukosefu wa uaminifu kumwelekea Yehova Mungu wa mababu zao, hivi kwamba akawafanya kuwa kitu cha kushangaza,+ kama vile mnavyoona. 8 Sasa msifanye shingo+ zenu kuwa ngumu kama walivyofanya mababu zenu. Mpeni Yehova nafasi+ na mje katika patakatifu pake+ ambapo amepatakasa+ mpaka wakati usio na kipimo na kumtumikia+ Yehova Mungu wenu, ili hasira yake inayowaka+ iondoke kwenu. 9 Kwa maana wakati mtakaporudi+ kwa Yehova, ndugu zenu na wana wenu wataonyeshwa rehema+ mbele ya wale wanaowashika mateka, na kuruhusiwa kurudi katika nchi hii;+ kwa kuwa Yehova Mungu wenu, ni mwenye neema+ na rehema,+ wala hatageuza uso kutoka kwenu mkirudi kwake.”+

10 Kwa hiyo wale wakimbiaji+ wakaendelea, wakapita jiji baada ya jiji katika nchi yote ya Efraimu+ na Manase, mpaka Zabuloni; lakini wakaendelea kuwafanyia mzaha na kuwadharau.+ 11 Ni watu mmoja mmoja+ tu kutoka Asheri na Manase na kutoka Zabuloni waliojinyenyekeza,+ hivi kwamba wakaja Yerusalemu. 12 Mkono wa Mungu wa kweli ukawa katika Yuda pia ili kuwapa moyo mmoja+ ili watende amri+ ya mfalme na wakuu kuhusu lile jambo la Yehova.+

13 Nao wakakusanyika Yerusalemu,+ watu wengi sana, ili kufanya sherehe+ ya keki zisizo na chachu katika mwezi wa pili,+ kutaniko lenye watu wengi sana. 14 Kisha wakasimama na kuziondoa madhabahu+ zilizokuwa Yerusalemu, wakaziondoa madhabahu+ zote za uvumba, nao wakazitupa katika bonde la mto la Kidroni.+ 15 Kisha wakachinja mnyama wa pasaka+ katika siku ya kumi na nne ya mwezi wa pili; na makuhani na Walawi walikuwa wametiwa aibu, hivi kwamba wakajitakasa+ na kuleta matoleo ya kuteketezwa kwenye nyumba ya Yehova. 16 Nao wakaendelea kusimama+ mahali pao kulingana na kanuni yao, kulingana na sheria ya Musa yule mtu wa Mungu wa kweli, makuhani+ wakinyunyiza damu iliyopokewa kutoka mkononi mwa Walawi. 17 Kwa maana palikuwa na wengi katika kutaniko ambao hawakuwa wamejitakasa; na Walawi+ walikuwa wakisimamia kuchinjwa kwa wanyama wa pasaka+ kwa ajili ya wote ambao hawakuwa safi, ili kuwatakasa kwa Yehova. 18 Kwa maana palikuwa na hesabu kubwa ya watu, wengi kutoka Efraimu+ na Manase,+ Isakari na Zabuloni,+ ambao hawakuwa wamejitakasa,+ kwa maana hawakula pasaka kulingana na yale ambayo yameandikwa;+ lakini Hezekia akasali kwa ajili yao,+ na kusema: “Yehova aliye mwema+ na amkubali 19 kila mtu ambaye ameutayarisha moyo+ wake ili kumtafuta Mungu wa kweli, Yehova Mungu wa mababu zake, ingawa hajatakaswa kwa ajili ya kilicho kitakatifu.”+ 20 Basi Yehova akamsikiliza Hezekia na kuwaponya watu.+

21 Hivyo wana wa Israeli waliokuwa Yerusalemu wakafanya sherehe+ ya keki zisizo na chachu kwa siku saba kwa shangwe kubwa;+ na Walawi+ na makuhani+ walikuwa wakimtolea Yehova sifa siku baada ya siku kwa vyombo vyenye sauti kubwa, naam, kwa Yehova.+ 22 Tena Hezekia akasema kwa moyo+ wa Walawi wote waliokuwa wakitenda kwa busara njema kumwelekea Yehova.+ Nao wakala sherehe rasmi kwa siku saba,+ wakitoa dhabihu za ushirika+ na kuungama+ kwa Yehova Mungu wa mababu zao.

23 Kisha kutaniko lote likaamua+ kuifanya kwa siku saba zaidi,+ basi wakaifanya kwa siku saba kwa kushangilia. 24 Kwa maana Hezekia mfalme wa Yuda alichanga+ kwa ajili ya kutaniko ng’ombe elfu moja na kondoo elfu saba, na wakuu+ wakachanga kwa ajili ya kutaniko ng’ombe elfu moja na kondoo elfu kumi; na hesabu kubwa ya makuhani+ wakaendelea kujitakasa. 25 Na kutaniko lote la Yuda+ na makuhani na Walawi+ na kutaniko lote lililokuja kutoka katika Israeli+ na wakaaji wageni+ waliokuja kutoka katika nchi ya Israeli+ na wale wanaokaa Yuda wakaendelea kushangilia.+ 26 Na kukawa na shangwe kubwa Yerusalemu, kwa maana tangu siku za Sulemani+ mwana wa Daudi mfalme wa Israeli hakukuwa na shangwe kama hiyo katika Yerusalemu.+ 27 Mwishowe makuhani, Walawi, wakasimama na kuwabariki+ watu; na sauti yao ikasikilizwa, hivi kwamba sala yao ikaingia katika makao yake matakatifu, mbinguni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki