2 Mambo ya Nyakati 30:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Msiwe kama mababu zenu na kama ndugu zenu waliokosa kutenda kwa uaminifu kwa Yehova Mungu wa mababu zao, hivi kwamba akawafanya kuwa kitu cha kutisha, kama mnavyoona.+
7 Msiwe kama mababu zenu na kama ndugu zenu waliokosa kutenda kwa uaminifu kwa Yehova Mungu wa mababu zao, hivi kwamba akawafanya kuwa kitu cha kutisha, kama mnavyoona.+