-
2 Mambo ya Nyakati 29:8, 9Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 Kwa hiyo, ghadhabu ya Yehova ikaja dhidi ya watu wa Yuda na Yerusalemu,+ hivi kwamba akawafanya kuwa kitu cha kutisha na cha kushangaza na kitu cha kupigiwa mluzi,* kama mnavyoona kwa macho yenu wenyewe.+ 9 Kwa hiyo mababu zetu waliuawa kwa upanga,+ na wana wetu, mabinti wetu, na wake zetu wakapelekwa utekwani kwa sababu ya mambo hayo.+
-