Hesabu 9:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Sema na wana wa Israeli, na kuwaambia, ‘Ingawa huenda mtu yeyote kati yenu au wa vizazi vyenu akawa najisi kwa sababu ya nafsi+ au ameenda safari ya mbali, yeye pia lazima atamtayarishia Yehova dhabihu ya pasaka. Hesabu 9:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Katika mwezi wa pili,+ siku ya kumi na nne katikati ya zile jioni mbili, wataitayarisha. Wataila pamoja na keki zisizo na chachu na mboga chungu.+
10 “Sema na wana wa Israeli, na kuwaambia, ‘Ingawa huenda mtu yeyote kati yenu au wa vizazi vyenu akawa najisi kwa sababu ya nafsi+ au ameenda safari ya mbali, yeye pia lazima atamtayarishia Yehova dhabihu ya pasaka.
11 Katika mwezi wa pili,+ siku ya kumi na nne katikati ya zile jioni mbili, wataitayarisha. Wataila pamoja na keki zisizo na chachu na mboga chungu.+