18 Na pasaka kama hiyo haikuwa imefanywa kamwe katika Israeli tangu siku za nabii Samweli,+ wala wafalme+ wengine wa Israeli hawakuwa wamefanya pasaka kama ile ambayo ilifanywa na Yosia na makuhani na Walawi na Yuda wote na Israeli waliopatikana na wakaaji wa Yerusalemu.