Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 35
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Mambo ya Nyakati 35:1

Marejeo

  • +2Fa 23:21
  • +Kut 12:11; Law 23:5; Hes 9:2
  • +Kut 12:21; 1Ko 5:7
  • +Hes 9:3; Yos 5:10; Ezr 6:19
  • +Kum 16:1

2 Mambo ya Nyakati 35:2

Marejeo

  • +1Nya 23:32; 2Nya 23:18; 31:2
  • +Mdo 20:2; Ebr 10:25; 1Pe 5:12
  • +Kol 4:17

2 Mambo ya Nyakati 35:3

Marejeo

  • +Kum 33:10; 2Nya 17:9; 30:22; Ne 8:8
  • +2Nya 8:11
  • +1Fa 6:38; 2Nya 5:7
  • +Hes 4:15; 1Nya 23:26
  • +Hes 16:9; Zb 2:11; 100:2; Tit 1:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/1/2009, uku. 18

    12/1/2005, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 9/1 18; w05 12/1 20

2 Mambo ya Nyakati 35:4

Marejeo

  • +1Nya 9:10, 34
  • +1Nya 24:1
  • +1Nya 23:6
  • +2Nya 8:14

2 Mambo ya Nyakati 35:5

Marejeo

  • +Zb 135:2
  • +1Nya 23:11; 24:4
  • +1Nya 24:30

2 Mambo ya Nyakati 35:6

Marejeo

  • +Kut 12:21; 2Nya 30:15
  • +2Nya 29:5; Ezr 6:20
  • +Kut 12:42

2 Mambo ya Nyakati 35:7

Marejeo

  • +2Nya 30:24
  • +1Nya 29:3

2 Mambo ya Nyakati 35:8

Marejeo

  • +1Nya 28:1
  • +Met 11:25; Mdo 20:35
  • +2Fa 23:4; 2Nya 34:14

2 Mambo ya Nyakati 35:10

Marejeo

  • +2Nya 35:6
  • +Zb 135:2
  • +2Nya 30:16
  • +1Nya 23:6
  • +Ezr 6:18

2 Mambo ya Nyakati 35:11

Marejeo

  • +Kut 12:6
  • +Hes 18:7
  • +Law 1:5; 2Nya 29:22; 30:16; Ebr 9:21
  • +Law 1:6; 2Nya 29:34

2 Mambo ya Nyakati 35:12

Marejeo

  • +2Nya 35:5; 1Ko 14:40
  • +1Nya 23:11; 24:30
  • +Law 3:9, 14
  • +Law 3:5, 11, 16

2 Mambo ya Nyakati 35:13

Marejeo

  • +Kum 16:7
  • +Kut 12:8
  • +Law 6:28; Hes 6:19
  • +Ro 12:11

2 Mambo ya Nyakati 35:14

Marejeo

  • +2Nya 31:19
  • +Law 3:5
  • +Law 3:3, 14
  • +2Nya 35:11

2 Mambo ya Nyakati 35:15

Marejeo

  • +1Nya 15:27; 2Nya 5:12; Ezr 2:41
  • +1Nya 16:37; 2Nya 29:13; Zb 50:utangulizi
  • +1Nya 23:5; 2Nya 29:26
  • +1Nya 25:2
  • +1Nya 16:41
  • +1Nya 16:42; 25:3
  • +1Sa 9:9
  • +1Nya 9:17; 26:12
  • +1Nya 26:13
  • +2Nya 35:11

2 Mambo ya Nyakati 35:16

Marejeo

  • +Law 23:5; Hes 28:16
  • +2Fa 23:21

2 Mambo ya Nyakati 35:17

Marejeo

  • +Kut 12:43; Kum 16:1
  • +Kut 12:15; Law 23:6; Hes 28:17; Kum 16:3; 2Nya 30:21; 1Ko 5:8

2 Mambo ya Nyakati 35:18

Marejeo

  • +2Fa 23:22
  • +2Nya 30:5, 26

2 Mambo ya Nyakati 35:19

Marejeo

  • +2Fa 23:23

2 Mambo ya Nyakati 35:20

Marejeo

  • +Yer 46:2
  • +2Fa 23:29
  • +Isa 10:9
  • +2Fa 22:1
  • +2Fa 23:29; Met 3:30; 26:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    3/2017, uku. 27

2 Mambo ya Nyakati 35:21

Marejeo

  • +2Nya 25:19; Met 27:12

2 Mambo ya Nyakati 35:22

Marejeo

  • +Met 15:10
  • +1Fa 14:2; 22:30; 2Nya 18:29
  • +2Fa 23:33; Yer 46:2
  • +Amu 1:27; 5:19; 1Fa 4:12; 2Fa 9:27; 23:30; Zek 12:11; Ufu 16:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    3/2017, uku. 27

2 Mambo ya Nyakati 35:23

Marejeo

  • +2Fa 9:24; 2Nya 18:33
  • +1Fa 22:34

2 Mambo ya Nyakati 35:24

Marejeo

  • +2Fa 23:30
  • +Zb 146:4; Mhu 8:14; 9:10
  • +2Nya 34:28
  • +Kum 34:8; 1Fa 14:18

2 Mambo ya Nyakati 35:25

Marejeo

  • +Yer 1:1
  • +Omb 4:20
  • +Yer 9:17, 20
  • +Yer 22:20

2 Mambo ya Nyakati 35:26

Marejeo

  • +2Fa 23:28
  • +2Nya 32:32; Met 19:22
  • +Kum 31:24

2 Mambo ya Nyakati 35:27

Marejeo

  • +2Nya 26:22
  • +2Nya 25:26

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Nya. 35:12Fa 23:21
2 Nya. 35:1Kut 12:11; Law 23:5; Hes 9:2
2 Nya. 35:1Kut 12:21; 1Ko 5:7
2 Nya. 35:1Hes 9:3; Yos 5:10; Ezr 6:19
2 Nya. 35:1Kum 16:1
2 Nya. 35:21Nya 23:32; 2Nya 23:18; 31:2
2 Nya. 35:2Mdo 20:2; Ebr 10:25; 1Pe 5:12
2 Nya. 35:2Kol 4:17
2 Nya. 35:3Kum 33:10; 2Nya 17:9; 30:22; Ne 8:8
2 Nya. 35:32Nya 8:11
2 Nya. 35:31Fa 6:38; 2Nya 5:7
2 Nya. 35:3Hes 4:15; 1Nya 23:26
2 Nya. 35:3Hes 16:9; Zb 2:11; 100:2; Tit 1:1
2 Nya. 35:41Nya 9:10, 34
2 Nya. 35:41Nya 24:1
2 Nya. 35:41Nya 23:6
2 Nya. 35:42Nya 8:14
2 Nya. 35:5Zb 135:2
2 Nya. 35:51Nya 23:11; 24:4
2 Nya. 35:51Nya 24:30
2 Nya. 35:6Kut 12:21; 2Nya 30:15
2 Nya. 35:62Nya 29:5; Ezr 6:20
2 Nya. 35:6Kut 12:42
2 Nya. 35:72Nya 30:24
2 Nya. 35:71Nya 29:3
2 Nya. 35:81Nya 28:1
2 Nya. 35:8Met 11:25; Mdo 20:35
2 Nya. 35:82Fa 23:4; 2Nya 34:14
2 Nya. 35:102Nya 35:6
2 Nya. 35:10Zb 135:2
2 Nya. 35:102Nya 30:16
2 Nya. 35:101Nya 23:6
2 Nya. 35:10Ezr 6:18
2 Nya. 35:11Kut 12:6
2 Nya. 35:11Hes 18:7
2 Nya. 35:11Law 1:5; 2Nya 29:22; 30:16; Ebr 9:21
2 Nya. 35:11Law 1:6; 2Nya 29:34
2 Nya. 35:122Nya 35:5; 1Ko 14:40
2 Nya. 35:121Nya 23:11; 24:30
2 Nya. 35:12Law 3:9, 14
2 Nya. 35:12Law 3:5, 11, 16
2 Nya. 35:13Kum 16:7
2 Nya. 35:13Kut 12:8
2 Nya. 35:13Law 6:28; Hes 6:19
2 Nya. 35:13Ro 12:11
2 Nya. 35:142Nya 31:19
2 Nya. 35:14Law 3:5
2 Nya. 35:14Law 3:3, 14
2 Nya. 35:142Nya 35:11
2 Nya. 35:151Nya 15:27; 2Nya 5:12; Ezr 2:41
2 Nya. 35:151Nya 16:37; 2Nya 29:13; Zb 50:utangulizi
2 Nya. 35:151Nya 23:5; 2Nya 29:26
2 Nya. 35:151Nya 25:2
2 Nya. 35:151Nya 16:41
2 Nya. 35:151Nya 16:42; 25:3
2 Nya. 35:151Sa 9:9
2 Nya. 35:151Nya 9:17; 26:12
2 Nya. 35:151Nya 26:13
2 Nya. 35:152Nya 35:11
2 Nya. 35:16Law 23:5; Hes 28:16
2 Nya. 35:162Fa 23:21
2 Nya. 35:17Kut 12:43; Kum 16:1
2 Nya. 35:17Kut 12:15; Law 23:6; Hes 28:17; Kum 16:3; 2Nya 30:21; 1Ko 5:8
2 Nya. 35:182Fa 23:22
2 Nya. 35:182Nya 30:5, 26
2 Nya. 35:192Fa 23:23
2 Nya. 35:20Yer 46:2
2 Nya. 35:202Fa 23:29
2 Nya. 35:20Isa 10:9
2 Nya. 35:202Fa 22:1
2 Nya. 35:202Fa 23:29; Met 3:30; 26:17
2 Nya. 35:212Nya 25:19; Met 27:12
2 Nya. 35:22Met 15:10
2 Nya. 35:221Fa 14:2; 22:30; 2Nya 18:29
2 Nya. 35:222Fa 23:33; Yer 46:2
2 Nya. 35:22Amu 1:27; 5:19; 1Fa 4:12; 2Fa 9:27; 23:30; Zek 12:11; Ufu 16:16
2 Nya. 35:232Fa 9:24; 2Nya 18:33
2 Nya. 35:231Fa 22:34
2 Nya. 35:242Fa 23:30
2 Nya. 35:24Zb 146:4; Mhu 8:14; 9:10
2 Nya. 35:242Nya 34:28
2 Nya. 35:24Kum 34:8; 1Fa 14:18
2 Nya. 35:25Yer 1:1
2 Nya. 35:25Omb 4:20
2 Nya. 35:25Yer 9:17, 20
2 Nya. 35:25Yer 22:20
2 Nya. 35:262Fa 23:28
2 Nya. 35:262Nya 32:32; Met 19:22
2 Nya. 35:26Kum 31:24
2 Nya. 35:272Nya 26:22
2 Nya. 35:272Nya 25:26
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Mambo ya Nyakati 35:1-27

2 Mambo ya Nyakati

35 Ndipo Yosia+ akamfanyia Yehova pasaka+ katika Yerusalemu nao wakachinja mnyama wa pasaka+ katika siku ya kumi na nne+ ya mwezi wa kwanza.+ 2 Kwa hiyo akawaweka makuhani juu ya vitu vilivyo chini ya utunzaji+ wao na kuwatia moyo+ waendelee na utumishi wa nyumba ya Yehova.+ 3 Naye akawaambia Walawi, wafundishaji+ wa Israeli yote, wale walio watakatifu kwa Yehova: “Wekeni Sanduku takatifu+ ndani ya nyumba+ aliyojenga Sulemani mwana wa Daudi mfalme wa Israeli; lisiendelee kuwa mzigo juu ya mabega yenu.+ Sasa mtumikieni+ Yehova Mungu wenu, na Israeli watu wake. 4 Na mfanye matayarisho kulingana na nyumba ya mababu+ zenu kufuatana na migawanyo+ yenu, kulingana na maandishi+ ya Daudi mfalme wa Israeli na kulingana na maandishi+ ya Sulemani mwana wake. 5 Na msimame+ mahali patakatifu kulingana na vikundi vya nyumba ya mababu kwa ajili ya ndugu zenu, wana wa watu, na fungu la nyumba ya ukoo wa upande wa baba+ ya Walawi.+ 6 Na mchinje mnyama wa pasaka+ na mjitakase+ na kufanya matayarisho kwa ajili ya ndugu zenu ili kufanya kulingana na neno la Yehova kupitia Musa.”+

7 Sasa Yosia akawachangia wana wa watu makundi, wana-kondoo dume na wana-mbuzi dume, hao wote kuwa wanyama wa pasaka kwa ajili ya wote waliokuwapo, hesabu yao 30,000, na ng’ombe, 3,000.+ Hao walitoka katika mali za mfalme.+ 8 Na wakuu+ wake wakatoa mchango uwe toleo la hiari kwa ajili ya watu,+ kwa ajili ya makuhani na kwa ajili ya Walawi. Hilkia+ na Zekaria na Yehieli wakiwa viongozi wa nyumba ya Mungu wa kweli wakawapa makuhani kwa ajili ya wanyama wa pasaka wana-kondoo na wana-mbuzi elfu mbili na mia sita, na ng’ombe mia tatu. 9 Na Konania na Shemaya na Nethaneli ndugu zake na Hashabia na Yeieli na Yozabadi, wakuu wa Walawi, wakachangia Walawi kwa ajili ya wanyama wa pasaka wana-kondoo na wana-mbuzi elfu tano, na ng’ombe mia tano.

10 Na utumishi ukatayarishwa+ na makuhani wakaendelea kusimama+ mahali pao,+ na Walawi kwa migawanyo yao,+ kulingana na amri ya mfalme.+ 11 Nao wakachinja mnyama wa pasaka+ na makuhani+ wakanyunyiza+ damu kutoka mkononi mwao, huku Walawi wakiwachuna ngozi.+ 12 Tena wakatayarisha matoleo ya kuteketezwa ili kuvipa vikundi+ kulingana na nyumba ya ukoo wa upande wa baba,+ kwa wana wa watu, ili kumtolea Yehova toleo+ kulingana na yaliyoandikwa katika kitabu cha Musa;+ na pia wale ng’ombe wakawafanya hivyo. 13 Nao wakapika+ toleo la pasaka+ juu ya moto kulingana na desturi; na vile vitu vilivyofanywa kuwa vitakatifu wakavipika+ katika vyungu vya kupikia na katika vyungu vyenye makalio ya mviringo na katika mabakuli ya karamu, kisha wakalileta haraka kwa wana wote wa watu.+ 14 Na baadaye wakafanya matayarisho kwa ajili yao wenyewe na kwa ajili ya makuhani,+ kwa sababu makuhani wana wa Haruni walikuwa wakitoa dhabihu za kuteketezwa+ na vipande vyenye mafuta+ mpaka usiku, Walawi nao wakafanya matayarisho+ kwa ajili yao wenyewe na kwa ajili ya makuhani, wana wa Haruni.

15 Na waimbaji+ wana wa Asafu+ walikuwa katika cheo chao kulingana na amri ya Daudi+ na ya Asafu+ na ya Hemani+ na ya Yeduthuni,+ mwonaji+ wa mfalme; na watunza-malango+ walikuwa katika malango mbalimbali.+ Hawakuhitaji kuacha utumishi wao, kwa sababu ndugu zao Walawi walikuwa wamewafanyia matayarisho.+ 16 Na utumishi wote wa Yehova ulitayarishwa siku hiyo ili kuifanya pasaka+ na kutoa matoleo ya kuteketezwa juu ya madhabahu ya Yehova, kulingana na amri ya Mfalme Yosia.+

17 Na wana wa Israeli waliopatikana wakaifanya pasaka+ wakati huo na pia sherehe ya keki zisizo na chachu kwa siku saba.+ 18 Na pasaka kama hiyo haikuwa imefanywa kamwe katika Israeli tangu siku za nabii Samweli,+ wala wafalme+ wengine wa Israeli hawakuwa wamefanya pasaka kama ile ambayo ilifanywa na Yosia na makuhani na Walawi na Yuda wote na Israeli waliopatikana na wakaaji wa Yerusalemu. 19 Pasaka hii ilifanywa katika mwaka wa kumi na nane wa utawala wa Yosia.+

20 Baada ya hayo yote Yosia alipokuwa ameitayarisha nyumba, Neko+ mfalme wa Misri+ akapanda kuja kupigana kule Karkemishi+ kando ya Efrati. Ndipo Yosia+ akatoka kwenda kupambana naye.+ 21 Kwa hiyo akamtumia wajumbe, na kusema: “Nina nini na wewe, Ee mfalme wa Yuda? Si wewe ninayekuja kupigana nawe leo, lakini vita vyangu ni juu ya nyumba nyingine ambayo Mungu mwenyewe ameniambia niivuruge. Jiepushe kwa faida yako mwenyewe kwa sababu ya Mungu, ambaye yuko pamoja nami, wala usiache yeye akuangamize.”+ 22 Na Yosia hakugeuza uso wake kutoka kwake,+ lakini akajibadili sura+ ili kupigana naye wala hakuyasikiliza maneno ya Neko+ kutoka kinywani mwa Mungu. Basi akaja kupigana katika nchi tambarare ya bondeni ya Megido.+

23 Na wapiga-mishale+ wakampiga Mfalme Yosia, hivi kwamba mfalme akawaambia watumishi wake: “Nishusheni, kwa sababu nimeumizwa vibaya sana.”+ 24 Kwa hiyo watumishi wake wakamshusha kutoka katika gari lile, wakampandisha katika gari lake la pili la vita na kumpeleka Yerusalemu.+ Hivyo akafa+ na kuzikwa katika uwanja wa makaburi ya mababu zake;+ na Yuda wote na Yerusalemu walikuwa wakimwombolezea+ Yosia. 25 Na Yeremia+ akaanza kumwimbia Yosia wimbo wa maombolezo;+ na waimbaji wote wanaume na waimbaji wanawake+ huendelea kusema juu ya Yosia katika nyimbo zao za huzuni mpaka leo hii; nao wameziweka kuwa sharti juu ya Israeli, nazo tazama, zimeandikwa kati ya nyimbo za maombolezo.+

26 Na yale mambo mengine+ ya Yosia na matendo yake ya fadhili zenye upendo,+ kulingana na yale ambayo yameandikwa katika sheria+ ya Yehova, 27 na mambo yake, ya kwanza na ya mwisho,+ tazama, yameandikwa katika Kitabu+ cha Wafalme wa Israeli na Yuda.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki