2 Wafalme 23:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Katika siku zake Farao Neko+ mfalme wa Misri alipanda kuja kwa mfalme wa Ashuru kando ya mto Efrati,+ na Mfalme Yosia akaenda kukutana naye;+ lakini akamuua+ kule Megido+ mara tu alipomwona. Methali 3:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Usigombane na mtu bila sababu,+ ikiwa hajakufanyia ubaya wowote.+ Methali 26:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Mpita-njia yeyote anayekasirishwa na ugomvi usio wake ni kama mtu anayemshika mbwa masikio.+
29 Katika siku zake Farao Neko+ mfalme wa Misri alipanda kuja kwa mfalme wa Ashuru kando ya mto Efrati,+ na Mfalme Yosia akaenda kukutana naye;+ lakini akamuua+ kule Megido+ mara tu alipomwona.