20 Baada ya hayo yote Yosia alipokuwa ameitayarisha nyumba, Neko+ mfalme wa Misri+ akapanda kuja kupigana kule Karkemishi+ kando ya Efrati. Ndipo Yosia+ akatoka kwenda kupambana naye.+
31 Au ni mfalme gani, anayeenda kukutana na mfalme mwingine vitani, asiyeketi kwanza na kufanya shauri kama anaweza akiwa na askari 10,000 kukabiliana na yule mtu anayekuja juu yake pamoja na 20,000?+