Methali 18:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Midomo ya mtu aliye mjinga huingia katika mabishano,+ na kinywa chake huitisha mapigo.+ Methali 20:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ni utukufu kwa mtu kuepuka kugombana,+ lakini kila aliye mpumbavu atatumbukia humo.+ Methali 25:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Usiende kwa haraka kufanya kesi, ili sasa swali lisiwe utafanya nini mwishowe mwenzako anapokuaibisha.+
8 Usiende kwa haraka kufanya kesi, ili sasa swali lisiwe utafanya nini mwishowe mwenzako anapokuaibisha.+