Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 14:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Yule anayekasirika upesi atatenda upumbavu,+ lakini mtu mwenye uwezo wa kufikiri huchukiwa.+

  • Methali 18:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Midomo ya mtu aliye mjinga huingia katika mabishano,+ na kinywa chake huitisha mapigo.+

  • Mhubiri 7:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Usiwe na haraka kuudhika katika roho yako,+ kwa maana kuudhika hukaa katika kifua cha wajinga.+

  • Yakobo 4:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Vita vinatoka chanzo gani na mapigano yanatoka chanzo gani katikati yenu? Je, havitoki katika chanzo hiki,+ yaani, katika tamaa zenu za mwili zinazoendeleza pambano katika viungo vyenu?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki