Methali 12:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mtu mpumbavu ndiye hujulisha kinachomuudhi siku hiyohiyo,+ lakini mwerevu hufunika aibu.+ Methali 16:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Asiye mwepesi wa hasira ni bora kuliko mwanamume mwenye nguvu,+ naye anayezuia roho yake ni bora kuliko mtu anayeteka jiji.+
32 Asiye mwepesi wa hasira ni bora kuliko mwanamume mwenye nguvu,+ naye anayezuia roho yake ni bora kuliko mtu anayeteka jiji.+