Mwanzo 4:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 hakumtazama Kaini na toleo lake kwa kibali chochote.+ Ndipo Kaini akawaka hasira,+ na uso wake ukaanza kukunjamana. Esta 5:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Basi Hamani akatoka siku hiyo akiwa na shangwe na furaha+ moyoni; lakini mara tu Hamani alipomwona Mordekai katika lango la mfalme+ na kwamba hakusimama+ wala kutetemeka kwa ajili yake,+ upesi Hamani akajawa na ghadhabu+ juu ya Mordekai. Methali 14:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Yule ambaye si mwepesi wa hasira ana utambuzi mwingi,+ lakini anayekosa subira anainua upumbavu.+
5 hakumtazama Kaini na toleo lake kwa kibali chochote.+ Ndipo Kaini akawaka hasira,+ na uso wake ukaanza kukunjamana.
9 Basi Hamani akatoka siku hiyo akiwa na shangwe na furaha+ moyoni; lakini mara tu Hamani alipomwona Mordekai katika lango la mfalme+ na kwamba hakusimama+ wala kutetemeka kwa ajili yake,+ upesi Hamani akajawa na ghadhabu+ juu ya Mordekai.