Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Esta 2:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Siku hizo Mordekai alipokuwa anaketi katika lango la mfalme, Bigthani na Tereshi, maofisa wawili wa makao ya mfalme, watunza-milango, waligadhibika nao wakazidi kutafuta kumdhuru+ Mfalme Ahasuero.

  • Esta 3:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Basi watumishi wa mfalme waliokuwa katika lango la mfalme wakaanza kumwambia Mordekai: “Kwa nini unavunja amri ya mfalme?”+

  • Esta 6:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mara moja mfalme akamwambia Hamani: “Fanya haraka, chukua mavazi na farasi, kama ulivyosema, umfanyie hivyo Mordekai yule Myahudi anayeketi katika lango la mfalme. Usiache jambo lolote likose kutimia kati ya mambo yote uliyoyasema.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki