Ayubu 20:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwamba kilio cha shangwe cha watu waovu ni kifupi+Na kushangilia kwa mwasi-imani ni kwa kitambo kidogo? Luka 6:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “Ole wenu ninyi ambao mmeshiba sasa, kwa sababu mtakaa mkiwa na njaa.+ “Ole, ninyi mnaocheka sasa, kwa sababu mtaomboleza na kulia.+ Yakobo 4:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Iweni na taabu na kuomboleza na kulia.+ Kicheko chenu na kigeuzwe kuwa maombolezo, na shangwe yenu kuwa huzuni.+
5 Kwamba kilio cha shangwe cha watu waovu ni kifupi+Na kushangilia kwa mwasi-imani ni kwa kitambo kidogo?
25 “Ole wenu ninyi ambao mmeshiba sasa, kwa sababu mtakaa mkiwa na njaa.+ “Ole, ninyi mnaocheka sasa, kwa sababu mtaomboleza na kulia.+
9 Iweni na taabu na kuomboleza na kulia.+ Kicheko chenu na kigeuzwe kuwa maombolezo, na shangwe yenu kuwa huzuni.+