Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 27:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Hata kambi ijapopiga hema dhidi yangu,+

      Moyo wangu hautaogopa.+

      Vita vijapozuka dhidi yangu,+

      Bado nitakuwa na tegemeo wakati huo.+

  • Zaburi 139:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Je, mimi siwachukii wale wanaokuchukia vikali, Ee Yehova,+

      Na je, sichukizwi na wale wanaokuasi?+

  • Zaburi 139:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa chuki kamili, ninawachukia.+

      Wamekuwa adui halisi kwangu.+

  • Mathayo 10:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Na msiwaogope+ wale ambao wanaua mwili lakini hawawezi kuiua nafsi; lakini badala ya hivyo mwogopeni+ yeye anayeweza kuangamiza vyote viwili nafsi na mwili katika Gehena.*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki