Zaburi 27:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Hata kambi ijapopiga hema dhidi yangu,+Moyo wangu hautaogopa.+Vita vijapozuka dhidi yangu,+Bado nitakuwa na tegemeo wakati huo.+ Zaburi 139:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Je, mimi siwachukii wale wanaokuchukia vikali, Ee Yehova,+Na je, sichukizwi na wale wanaokuasi?+ Zaburi 139:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa chuki kamili, ninawachukia.+Wamekuwa adui halisi kwangu.+ Mathayo 10:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Na msiwaogope+ wale ambao wanaua mwili lakini hawawezi kuiua nafsi; lakini badala ya hivyo mwogopeni+ yeye anayeweza kuangamiza vyote viwili nafsi na mwili katika Gehena.*+
3 Hata kambi ijapopiga hema dhidi yangu,+Moyo wangu hautaogopa.+Vita vijapozuka dhidi yangu,+Bado nitakuwa na tegemeo wakati huo.+
28 Na msiwaogope+ wale ambao wanaua mwili lakini hawawezi kuiua nafsi; lakini badala ya hivyo mwogopeni+ yeye anayeweza kuangamiza vyote viwili nafsi na mwili katika Gehena.*+