Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 19:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Sasa Yehu+ mwana wa Hanani+ mwonaji+ akaenda mbele yake na kumwambia Mfalme Yehoshafati: “Je, waovu wanapaswa kupewa msaada,+ na je, unapaswa kuwapenda+ wale wanaomchukia+ Yehova? Kwa sababu hiyo kuna ghadhabu+ juu yako inayotoka mbele za uso wa Yehova.

  • Zaburi 21:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Mkono wako utawapata adui zako wote;+

      Mkono wako wa kuume utawapata wale wanaokuchukia.

  • Zaburi 81:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na wale wanaomchukia Yehova vikali, watakuja kwake wakitetemeka,+

      Na wakati wao utakuwa mpaka wakati usio na kipimo.

  • 2 Wakorintho 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Msifungwe nira isivyo sawa pamoja na wasio waamini.+ Kwa maana kuna ushirika gani kati ya uadilifu na uasi-sheria?+ Au nuru ina ushirika gani na giza?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki