Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 19
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Mambo ya Nyakati 19:1

Marejeo

  • +2Nya 18:31, 32

2 Mambo ya Nyakati 19:2

Marejeo

  • +1Fa 16:1
  • +2Nya 16:7
  • +1Sa 9:9
  • +1Fa 21:25
  • +Zb 139:21; Met 1:10; 9:8
  • +1Sa 2:30; Zb 21:8; 68:1
  • +2Nya 32:25; Zb 90:7; 141:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    10/2021, uku. 3

2 Mambo ya Nyakati 19:3

Marejeo

  • +1Fa 14:13; 2Nya 17:4
  • +2Nya 17:6
  • +2Nya 30:19; Ezr 7:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mkaribie Yehova, uku. 245

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/2015, kur. 11-12

    12/1/2005, uku. 20

    7/1/2003, uku. 17

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 12/1 21; w03 7/1 17; cl 245

2 Mambo ya Nyakati 19:4

Marejeo

  • +Mwa 21:33; Amu 20:1
  • +Yos 17:15; Amu 19:1
  • +1Sa 7:3; 2Nya 15:8

2 Mambo ya Nyakati 19:5

Marejeo

  • +Kum 16:18

2 Mambo ya Nyakati 19:6

Marejeo

  • +Mdo 5:35
  • +Kum 1:17; Zb 82:1
  • +Kum 1:16; Yoh 5:30; 8:16

2 Mambo ya Nyakati 19:7

Marejeo

  • +Ne 5:15; Ayu 31:23; Met 1:7
  • +Kut 18:21
  • +1Ti 3:2
  • +Mwa 18:25; Kum 32:4; Ro 9:14
  • +Kum 10:17; Mdo 10:34; Ro 2:11; Efe 6:9; 1Pe 1:17
  • +Kum 16:19; Isa 1:23; Mik 7:3; Tit 1:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    8/1/2011, uku. 28

    10/1/1986, uku. 30

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 8/1 28

2 Mambo ya Nyakati 19:8

Marejeo

  • +2Nya 17:8
  • +Kum 17:9; 21:5
  • +1Nya 27:1
  • +Kum 16:18; 25:1
  • +Kum 1:16

2 Mambo ya Nyakati 19:9

Marejeo

  • +2Sa 23:3

2 Mambo ya Nyakati 19:10

Marejeo

  • +Kum 17:8
  • +Kum 4:44
  • +Kum 30:11; Zb 19:7
  • +Kum 12:1
  • +Kum 4:1; Zb 147:19
  • +Hes 16:46

2 Mambo ya Nyakati 19:11

Marejeo

  • +1Nya 26:30; Mal 2:7
  • +Yos 1:6
  • +2Nya 15:2; Zb 18:24
  • +Zb 37:23; Mhu 2:26

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Nya. 19:12Nya 18:31, 32
2 Nya. 19:21Fa 16:1
2 Nya. 19:22Nya 16:7
2 Nya. 19:21Sa 9:9
2 Nya. 19:21Fa 21:25
2 Nya. 19:2Zb 139:21; Met 1:10; 9:8
2 Nya. 19:21Sa 2:30; Zb 21:8; 68:1
2 Nya. 19:22Nya 32:25; Zb 90:7; 141:5
2 Nya. 19:31Fa 14:13; 2Nya 17:4
2 Nya. 19:32Nya 17:6
2 Nya. 19:32Nya 30:19; Ezr 7:10
2 Nya. 19:4Mwa 21:33; Amu 20:1
2 Nya. 19:4Yos 17:15; Amu 19:1
2 Nya. 19:41Sa 7:3; 2Nya 15:8
2 Nya. 19:5Kum 16:18
2 Nya. 19:6Mdo 5:35
2 Nya. 19:6Kum 1:17; Zb 82:1
2 Nya. 19:6Kum 1:16; Yoh 5:30; 8:16
2 Nya. 19:7Ne 5:15; Ayu 31:23; Met 1:7
2 Nya. 19:7Kut 18:21
2 Nya. 19:71Ti 3:2
2 Nya. 19:7Mwa 18:25; Kum 32:4; Ro 9:14
2 Nya. 19:7Kum 10:17; Mdo 10:34; Ro 2:11; Efe 6:9; 1Pe 1:17
2 Nya. 19:7Kum 16:19; Isa 1:23; Mik 7:3; Tit 1:7
2 Nya. 19:82Nya 17:8
2 Nya. 19:8Kum 17:9; 21:5
2 Nya. 19:81Nya 27:1
2 Nya. 19:8Kum 16:18; 25:1
2 Nya. 19:8Kum 1:16
2 Nya. 19:92Sa 23:3
2 Nya. 19:10Kum 17:8
2 Nya. 19:10Kum 4:44
2 Nya. 19:10Kum 30:11; Zb 19:7
2 Nya. 19:10Kum 12:1
2 Nya. 19:10Kum 4:1; Zb 147:19
2 Nya. 19:10Hes 16:46
2 Nya. 19:111Nya 26:30; Mal 2:7
2 Nya. 19:11Yos 1:6
2 Nya. 19:112Nya 15:2; Zb 18:24
2 Nya. 19:11Zb 37:23; Mhu 2:26
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Mambo ya Nyakati 19:1-11

2 Mambo ya Nyakati

19 Kisha Yehoshafati mfalme wa Yuda akarudi kwa amani+ nyumbani kwake Yerusalemu. 2 Sasa Yehu+ mwana wa Hanani+ mwonaji+ akaenda mbele yake na kumwambia Mfalme Yehoshafati: “Je, waovu wanapaswa kupewa msaada,+ na je, unapaswa kuwapenda+ wale wanaomchukia+ Yehova? Kwa sababu hiyo kuna ghadhabu+ juu yako inayotoka mbele za uso wa Yehova. 3 Hata hivyo, kuna mambo mema+ ambayo yameonekana kwako, kwa sababu umeiondoa miti mitakatifu katika nchi+ nawe umetayarisha moyo wako kumtafuta Mungu wa kweli.”+

4 Na Yehoshafati akaendelea kukaa Yerusalemu; naye akaanza kutoka tena na kwenda katikati ya watu kutoka Beer-sheba+ mpaka eneo lenye milima la Efraimu,+ ili kuwarudisha kwa Yehova Mungu wa mababu zao.+ 5 Naye akaweka waamuzi katika nchi yote katika majiji yote yenye ngome ya Yuda, jiji baada ya jiji.+ 6 Naye akawaambia wale waamuzi: “Oneni mnalofanya,+ kwa sababu hamhukumu kwa ajili ya mwanadamu bali kwa ajili ya Yehova;+ naye yupo pamoja nanyi katika jambo la hukumu.+ 7 Na sasa hofu+ ya Yehova na iwe juu yenu.+ Iweni waangalifu na mtende,+ kwa maana hakuna ukosefu wowote wa uadilifu+ wala ubaguzi+ wala kuchukua rushwa kwa upande wa Yehova Mungu wetu.”+

8 Na katika Yerusalemu pia Yehoshafati akaweka baadhi ya Walawi+ na makuhani+ na baadhi ya vichwa vya nyumba za ukoo wa upande wa baba+ za Israeli kwa ajili ya uamuzi+ wa Yehova na kwa ajili ya kesi+ za wakaaji wa Yerusalemu. 9 Tena akaweka amri juu yao, akisema: “Hivi ndivyo mnavyopaswa kufanya katika kumwogopa+ Yehova kwa uaminifu na kwa moyo kamili. 10 Na kuhusu kila kesi itakayokuja kwenu ya ndugu zenu wanaokaa katika majiji yao, inayohusu kumwaga damu,+ inayohusu sheria+ na amri+ na masharti+ na maamuzi ya hukumu,+ lazima mwaonye kwamba wasimkosee Yehova ili ghadhabu+ isije juu yenu na juu ya ndugu zenu. Hivyo ndivyo mnavyopaswa kufanya ili msipate hatia. 11 Na, tazama, yupo Amaria mkuu wa makuhani aliye juu yenu kwa ajili ya kila jambo la Yehova;+ na Zebadia mwana wa Ishmaeli kiongozi wa nyumba ya Yuda kwa ajili ya kila jambo la mfalme; nanyi mna Walawi wakiwa maofisa kwa ajili yenu. Iweni na nguvu,+ mtende, na Yehova+ awe pamoja na mambo yaliyo mema.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki