Kumbukumbu la Torati 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Msipendelee katika hukumu.+ Msikilizeni mdogo sawa na mkubwa.+ Msiogope kwa sababu ya mwanadamu,+ kwa maana hukumu ni ya Mungu;+ na kesi ambayo ni ngumu mno kwenu, nileteeni, nami nitaisikiliza.’+ Zaburi 82:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 82 Mungu amesimama katika kusanyiko+ la Mungu;+Anahukumu katikati ya miungu:+
17 Msipendelee katika hukumu.+ Msikilizeni mdogo sawa na mkubwa.+ Msiogope kwa sababu ya mwanadamu,+ kwa maana hukumu ni ya Mungu;+ na kesi ambayo ni ngumu mno kwenu, nileteeni, nami nitaisikiliza.’+