Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 1
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Kumbukumbu la Torati 1:1

Marejeo

  • +Yos 22:4
  • +Hes 10:12
  • +Hes 33:18

Kumbukumbu la Torati 1:2

Marejeo

  • +Hes 13:26; Kum 9:23; Yos 14:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/15/2004, uku. 25

  • Fahirishi ya Machapisho

    w04 9/15 25

Kumbukumbu la Torati 1:3

Marejeo

  • +Hes 32:13; 33:38

Kumbukumbu la Torati 1:4

Marejeo

  • +Hes 21:23; Yos 12:2
  • +Hes 21:33; Ne 9:22; Zb 135:11
  • +Yos 9:10
  • +Yos 13:12

Kumbukumbu la Torati 1:5

Marejeo

  • +Kum 4:8; 17:18; Ne 8:7

Kumbukumbu la Torati 1:6

Marejeo

  • +Kum 4:15; 1Fa 8:9
  • +Kut 19:1; Hes 10:11, 12

Kumbukumbu la Torati 1:7

Marejeo

  • +Mwa 15:16; Yos 10:6
  • +Kum 3:17; 4:49; Yos 12:3
  • +Hes 13:17
  • +Mwa 12:9; Hes 21:1
  • +Yos 9:1
  • +Hes 34:2
  • +Yos 13:1, 5; 1Fa 9:19
  • +Mwa 15:18

Kumbukumbu la Torati 1:8

Marejeo

  • +Mwa 26:3
  • +Mwa 28:13
  • +Mwa 12:7; 13:15; 17:7

Kumbukumbu la Torati 1:9

Marejeo

  • +Kut 18:18

Kumbukumbu la Torati 1:10

Marejeo

  • +Mwa 15:5; Kut 32:13; Hes 26:51; Kum 10:22

Kumbukumbu la Torati 1:11

Marejeo

  • +1Fa 3:8; 1Nya 27:23; Zb 115:14
  • +Mwa 26:4; Kut 23:25; Met 10:22
  • +Mwa 12:2; 22:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/1/1988, kur. 18-19

Kumbukumbu la Torati 1:12

Marejeo

  • +Kut 18:18; Hes 11:11; 20:3; 27:14

Kumbukumbu la Torati 1:13

Marejeo

  • +1Ti 3:2
  • +1Ti 3:4, 6
  • +Kut 18:21

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/1/2000, uku. 32

  • Fahirishi ya Machapisho

    w00 10/1 32

Kumbukumbu la Torati 1:15

Marejeo

  • +Kut 18:25

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/2007, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 3/15 20

Kumbukumbu la Torati 1:16

Marejeo

  • +Kut 23:8; Kum 16:18; Yoh 7:24
  • +Kut 22:21; Law 19:34; 24:22

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/1992, uku. 17

Kumbukumbu la Torati 1:17

Marejeo

  • +Law 19:15; 1Sa 16:7; Met 24:23; Lu 20:21; Ro 2:11
  • +Kut 23:3; Yak 2:4
  • +Met 29:25
  • +2Nya 19:6
  • +Kut 18:26

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/15/2004, uku. 25

    7/1/1992, uku. 17

  • Fahirishi ya Machapisho

    w04 9/15 25

Kumbukumbu la Torati 1:19

Marejeo

  • +Hes 10:12; Kum 8:15; Yer 2:6
  • +Mwa 15:16; Hes 13:29
  • +Hes 13:26; 32:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    ‘Nchi Nzuri’, kur. 8-9

    “Kila Andiko,” uku. 31

  • Fahirishi ya Machapisho

    gl 8-9

Kumbukumbu la Torati 1:20

Marejeo

  • +Kum 1:7

Kumbukumbu la Torati 1:21

Marejeo

  • +Kum 1:8; 31:6
  • +Kut 23:27
  • +Hes 14:9; Yos 1:9; Zb 27:1; Isa 41:10; Ebr 13:6

Kumbukumbu la Torati 1:22

Marejeo

  • +Hes 13:2

Kumbukumbu la Torati 1:23

Marejeo

  • +Hes 13:3

Kumbukumbu la Torati 1:24

Marejeo

  • +Hes 13:17
  • +Hes 13:24

Kumbukumbu la Torati 1:25

Marejeo

  • +Hes 13:23, 26
  • +Hes 13:27

Kumbukumbu la Torati 1:26

Marejeo

  • +Ebr 10:38
  • +Hes 14:1, 4; Zb 106:24

Kumbukumbu la Torati 1:27

Marejeo

  • +Met 19:3
  • +Kut 3:8; Eze 20:6
  • +Hes 14:3

Kumbukumbu la Torati 1:28

Marejeo

  • +Hes 32:9; Kum 20:8; Yos 14:8
  • +Hes 13:33; Kum 2:10
  • +Hes 13:28; Kum 9:1
  • +Hes 13:22; Yos 11:21

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/2013, uku. 11

Kumbukumbu la Torati 1:29

Marejeo

  • +Hes 14:9

Kumbukumbu la Torati 1:30

Marejeo

  • +Kut 14:14; Kum 20:4; Yos 10:42; 2Nya 14:11; Zb 46:11
  • +Hes 14:22; Zb 78:12; 105:27

Kumbukumbu la Torati 1:31

Marejeo

  • +Zb 78:15
  • +Kut 19:4; Kum 32:11
  • +Zb 77:20

Kumbukumbu la Torati 1:32

Marejeo

  • +Zb 78:22; 106:24; Ebr 3:16, 19; Yud 5

Kumbukumbu la Torati 1:33

Marejeo

  • +Hes 10:33
  • +Kut 13:21; 40:36; Hes 10:34; Ne 9:12; Zb 78:14; 105:39

Kumbukumbu la Torati 1:34

Marejeo

  • +Hes 14:28, 35; 32:10; Kum 2:14; Zb 95:11; Ebr 3:11

Kumbukumbu la Torati 1:35

Marejeo

  • +Hes 14:29; Mdo 13:18; 1Ko 10:5; Ebr 3:17

Kumbukumbu la Torati 1:36

Marejeo

  • +Hes 14:30
  • +Hes 14:24; Yos 14:9

Kumbukumbu la Torati 1:37

Marejeo

  • +Hes 20:12; 27:13; Kum 3:26; Zb 106:32

Kumbukumbu la Torati 1:38

Marejeo

  • +Kut 33:11; Hes 11:28; 14:38
  • +Hes 27:18; Kum 31:7; Yos 1:6

Kumbukumbu la Torati 1:39

Marejeo

  • +Hes 14:3, 31

Kumbukumbu la Torati 1:40

Marejeo

  • +Hes 14:25

Kumbukumbu la Torati 1:41

Marejeo

  • +Hes 14:39
  • +Hes 14:40

Kumbukumbu la Torati 1:42

Marejeo

  • +Law 26:17; Hes 14:42
  • +Hes 14:43

Kumbukumbu la Torati 1:43

Marejeo

  • +Hes 14:41; Isa 63:10; Yer 11:8; Mdo 7:51
  • +Hes 14:44

Kumbukumbu la Torati 1:44

Marejeo

  • +Kum 28:25; 32:30
  • +Hes 14:45

Kumbukumbu la Torati 1:45

Marejeo

  • +Zb 78:34; Met 28:9
  • +Zb 66:18

Kumbukumbu la Torati 1:46

Marejeo

  • +Hes 13:25

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Kum. 1:1Yos 22:4
Kum. 1:1Hes 10:12
Kum. 1:1Hes 33:18
Kum. 1:2Hes 13:26; Kum 9:23; Yos 14:7
Kum. 1:3Hes 32:13; 33:38
Kum. 1:4Hes 21:23; Yos 12:2
Kum. 1:4Hes 21:33; Ne 9:22; Zb 135:11
Kum. 1:4Yos 9:10
Kum. 1:4Yos 13:12
Kum. 1:5Kum 4:8; 17:18; Ne 8:7
Kum. 1:6Kum 4:15; 1Fa 8:9
Kum. 1:6Kut 19:1; Hes 10:11, 12
Kum. 1:7Mwa 15:16; Yos 10:6
Kum. 1:7Kum 3:17; 4:49; Yos 12:3
Kum. 1:7Hes 13:17
Kum. 1:7Mwa 12:9; Hes 21:1
Kum. 1:7Yos 9:1
Kum. 1:7Hes 34:2
Kum. 1:7Yos 13:1, 5; 1Fa 9:19
Kum. 1:7Mwa 15:18
Kum. 1:8Mwa 26:3
Kum. 1:8Mwa 28:13
Kum. 1:8Mwa 12:7; 13:15; 17:7
Kum. 1:9Kut 18:18
Kum. 1:10Mwa 15:5; Kut 32:13; Hes 26:51; Kum 10:22
Kum. 1:111Fa 3:8; 1Nya 27:23; Zb 115:14
Kum. 1:11Mwa 26:4; Kut 23:25; Met 10:22
Kum. 1:11Mwa 12:2; 22:17
Kum. 1:12Kut 18:18; Hes 11:11; 20:3; 27:14
Kum. 1:131Ti 3:2
Kum. 1:131Ti 3:4, 6
Kum. 1:13Kut 18:21
Kum. 1:15Kut 18:25
Kum. 1:16Kut 23:8; Kum 16:18; Yoh 7:24
Kum. 1:16Kut 22:21; Law 19:34; 24:22
Kum. 1:17Law 19:15; 1Sa 16:7; Met 24:23; Lu 20:21; Ro 2:11
Kum. 1:17Kut 23:3; Yak 2:4
Kum. 1:17Met 29:25
Kum. 1:172Nya 19:6
Kum. 1:17Kut 18:26
Kum. 1:19Hes 10:12; Kum 8:15; Yer 2:6
Kum. 1:19Mwa 15:16; Hes 13:29
Kum. 1:19Hes 13:26; 32:8
Kum. 1:20Kum 1:7
Kum. 1:21Kum 1:8; 31:6
Kum. 1:21Kut 23:27
Kum. 1:21Hes 14:9; Yos 1:9; Zb 27:1; Isa 41:10; Ebr 13:6
Kum. 1:22Hes 13:2
Kum. 1:23Hes 13:3
Kum. 1:24Hes 13:17
Kum. 1:24Hes 13:24
Kum. 1:25Hes 13:23, 26
Kum. 1:25Hes 13:27
Kum. 1:26Ebr 10:38
Kum. 1:26Hes 14:1, 4; Zb 106:24
Kum. 1:27Met 19:3
Kum. 1:27Kut 3:8; Eze 20:6
Kum. 1:27Hes 14:3
Kum. 1:28Hes 32:9; Kum 20:8; Yos 14:8
Kum. 1:28Hes 13:33; Kum 2:10
Kum. 1:28Hes 13:28; Kum 9:1
Kum. 1:28Hes 13:22; Yos 11:21
Kum. 1:29Hes 14:9
Kum. 1:30Kut 14:14; Kum 20:4; Yos 10:42; 2Nya 14:11; Zb 46:11
Kum. 1:30Hes 14:22; Zb 78:12; 105:27
Kum. 1:31Zb 78:15
Kum. 1:31Kut 19:4; Kum 32:11
Kum. 1:31Zb 77:20
Kum. 1:32Zb 78:22; 106:24; Ebr 3:16, 19; Yud 5
Kum. 1:33Hes 10:33
Kum. 1:33Kut 13:21; 40:36; Hes 10:34; Ne 9:12; Zb 78:14; 105:39
Kum. 1:34Hes 14:28, 35; 32:10; Kum 2:14; Zb 95:11; Ebr 3:11
Kum. 1:35Hes 14:29; Mdo 13:18; 1Ko 10:5; Ebr 3:17
Kum. 1:36Hes 14:30
Kum. 1:36Hes 14:24; Yos 14:9
Kum. 1:37Hes 20:12; 27:13; Kum 3:26; Zb 106:32
Kum. 1:38Kut 33:11; Hes 11:28; 14:38
Kum. 1:38Hes 27:18; Kum 31:7; Yos 1:6
Kum. 1:39Hes 14:3, 31
Kum. 1:40Hes 14:25
Kum. 1:41Hes 14:39
Kum. 1:41Hes 14:40
Kum. 1:42Law 26:17; Hes 14:42
Kum. 1:42Hes 14:43
Kum. 1:43Hes 14:41; Isa 63:10; Yer 11:8; Mdo 7:51
Kum. 1:43Hes 14:44
Kum. 1:44Kum 28:25; 32:30
Kum. 1:44Hes 14:45
Kum. 1:45Zb 78:34; Met 28:9
Kum. 1:45Zb 66:18
Kum. 1:46Hes 13:25
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Kumbukumbu la Torati 1:1-46

Kumbukumbu la Torati

Kumbukumbu la Torati

1 Haya ndiyo maneno ambayo Musa aliwaambia Israeli wote katika eneo la Yordani+ nyikani, katika nchi tambarare za jangwa mbele ya Sufi, katikati ya Parani+ na Tofeli na Labani na Haserothi+ na Dizahabu, 2 mwendo wa siku kumi na moja kutoka Horebu kupitia njia ya Mlima Seiri mpaka Kadesh-barnea.+ 3 Na ikawa kwamba katika mwaka wa 40,+ katika mwezi wa kumi na moja, siku ya kwanza ya mwezi huo, Musa akasema na wana wa Israeli kulingana na yote ambayo Yehova alikuwa amemwamuru kwa ajili yao, 4 baada ya kumshinda Sihoni+ mfalme wa Waamori, aliyekuwa akikaa kule Heshboni, na Ogu+ mfalme wa Bashani, aliyekuwa akikaa kule Ashtarothi,+ katika Edrei.+ 5 Katika eneo la Yordani nchini Moabu, Musa akaanza kuifafanua sheria hii,+ na kusema:

6 “Yehova Mungu wetu alisema nasi katika Horebu,+ na kutuambia hivi, ‘Mmekaa muda mrefu vya kutosha katika eneo hili lenye milima.+ 7 Geukeni mfunge safari, mwende kwenye eneo lenye milima la Waamori+ na kwa jirani zao wote katika Araba,+ lile eneo lenye milima+ na Shefela na Negebu+ na pwani ya bahari,+ nchi ya Wakanaani,+ na Lebanoni,+ mpaka ule mto mkubwa, mto Efrati.+ 8 Tazama, naiweka nchi hiyo mbele yenu. Ingieni mwimiliki nchi ambayo Yehova aliwaapia baba zenu, Abrahamu, Isaka+ na Yakobo,+ kwamba atawapa wao na uzao wao baada yao.’+

9 “Nami nikawaambia hivi wakati huo, ‘Mimi peke yangu siwezi kuwabeba ninyi.+ 10 Yehova Mungu wenu amewazidisha ninyi, na tazama, ninyi leo ni kama nyota za mbinguni kwa wingi.+ 11 Yehova Mungu wa mababu zenu na awaongeze+ mara elfu moja zaidi ya jinsi mlivyo, naye na awabariki+ ninyi kama vile alivyowaahidi ninyi.+ 12 Mimi peke yangu ninawezaje kuubeba uzito wenu na mzigo wenu na ugomvi wenu?+ 13 Tafuteni watu wenye hekima na busara+ na uzoefu+ wa makabila yenu, ili niwaweke wawe vichwa juu yenu.’+ 14 Ndipo mkanijibu na kusema, ‘Jambo ambalo umesema tufanye ni jema.’ 15 Basi nikawachukua vichwa vya makabila yenu, wanaume wenye hekima na uzoefu, na kuwaweka kuwa vichwa juu yenu, wakuu wa maelfu na wakuu wa mamia na wakuu wa 50 na wakuu wa makumi na maofisa wa makabila yenu.+

16 “Nami nikawaamuru waamuzi wenu wakati huo, na kusema, ‘Mnaposikiliza kesi kati ya ndugu zenu, hukumuni kwa uadilifu+ kati ya mtu na ndugu yake au mkaaji mgeni wake.+ 17 Msipendelee katika hukumu.+ Msikilizeni mdogo sawa na mkubwa.+ Msiogope kwa sababu ya mwanadamu,+ kwa maana hukumu ni ya Mungu;+ na kesi ambayo ni ngumu mno kwenu, nileteeni, nami nitaisikiliza.’+ 18 Nami nikawaamuru ninyi wakati huo mambo yote mnayopaswa kufanya.

19 “Halafu tukaondoka Horebu na kupiga mwendo kupitia nyika yote hiyo iliyo kuu na yenye kutia woga,+ ambayo mmeiona, kupitia eneo lenye milima la Waamori,+ kama vile Yehova Mungu wetu alivyokuwa ametuamuru; na mwishowe tukafika Kadesh-barnea.+ 20 Sasa nikawaambia ninyi, ‘Mmefika kwenye eneo lenye milima la Waamori, ambalo Yehova Mungu wetu anatupa sisi.+ 21 Tazama, Yehova Mungu wako ameitia nchi hiyo mikononi mwako.+ Panda, ukaimiliki, kama vile Yehova Mungu wa mababu zako alivyokuambia.+ Usiogope, wala usiingiwe na hofu.’+

22 “Hata hivyo, ninyi nyote mkanikaribia na kusema, ‘Acha tutume watu mbele yetu, wakaipeleleze nchi kwa ajili yetu, watuletee neno kuhusu njia ambayo tutaipitia kwenda katika majiji tutakayoyafikia.’+ 23 Basi, jambo hilo likawa jema machoni pangu, hivi kwamba nikachukua wanaume kumi na wawili kati yenu, mmoja kwa ajili ya kila kabila.+ 24 Kisha wakageuka na kupanda eneo lenye milima,+ wakafika kwenye bonde la mto la Eshkoli,+ wakapeleleza. 25 Nao wakachukua sehemu ya matunda ya nchi+ hiyo mkononi mwao na kutuletea, nao wakaja na kutuletea neno na kusema, ‘Nchi ambayo Yehova Mungu wetu anatupa sisi ni nzuri.’+ 26 Lakini hamkutaka kwenda,+ nanyi mkaanza kujiendesha kwa kuliasi agizo la Yehova Mungu wenu.+ 27 Nanyi mkanung’unika katika mahema yenu na kusema, ‘Kwa sababu Yehova alituchukia,+ ndiyo maana alitutoa katika nchi ya Misri+ atutie mkononi mwa Waamori, ili kutuangamiza.+ 28 Tunapanda kwenda wapi? Ndugu zetu wameufanya moyo wetu uyeyuke,+ kwa kusema: “Tuliona huko watu wakubwa zaidi na warefu zaidi kuliko sisi,+ majiji makubwa na yaliyotiwa ngome mpaka mbinguni+ na pia wale wana wa Waanaki.”’+

29 “Kwa hiyo nikawaambia ninyi, ‘Msishtuke wala kuogopa kwa sababu yao.+ 30 Yehova Mungu wenu ndiye anayeenda mbele yenu. Atawapigania ninyi+ kulingana na yote ambayo aliwafanyia ninyi katika Misri chini ya macho yenu wenyewe,+ 31 na katika nyika,+ mahali ambapo uliona jinsi Yehova Mungu wako alivyokuchukua+ kama vile mtu anavyomchukua mwana wake, katika njia yote mliyoitembea mpaka mlipokuja hapa.’+ 32 Lakini ijapokuwa mlikuwa na neno hilo ninyi hamkuwa na imani katika Yehova Mungu wenu,+ 33 aliyekuwa akienda mbele yenu njiani ili kupeleleza mahali kwa ajili yenu ili mpige kambi,+ kwa moto wakati wa usiku ili mwione njia mnayopaswa kuitembea na kwa wingu wakati wa mchana.+

34 “Wakati wote huo Yehova alisikia sauti ya maneno yenu. Basi akakasirika, akaapa,+ na kusema, 35 ‘Hakuna hata mmoja kati ya watu hawa wa kizazi hiki kiovu atakayeiona ile nchi nzuri niliyoapa ya kwamba nitawapa baba zenu,+ 36 isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune.+ Yeye ataiona, nami nitampa yeye na wanawe nchi ile aliyoikanyaga, kwa sababu amemfuata Yehova kikamili.+ 37 (Hata mimi Yehova alinikasirikia kwa sababu yenu, na kusema, ‘Wewe pia hutaingia humo.+ 38 Yoshua mwana wa Nuni, anayesimama mbele yako, ndiye atakayeingia humo.’+ Yeye amempa nguvu,+ kwa sababu atawafanya Israeli wairithi.) 39 Nao watoto wenu ambao mlisema hivi juu yao: “Watakuwa nyara!”+ na wana wenu ambao leo hawajui jema wala baya, hao wataingia humo, nami nitawapa hiyo, nao wataimiliki. 40 Nanyi wenyewe, badilini njia mnayoelekea, mtoke nyikani kupitia njia ya Bahari Nyekundu.’+

41 “Ndipo mlipojibu na kuniambia, ‘Tumemtendea dhambi Yehova.+ Sisi—sisi tutapanda na kupigana kulingana na yote ambayo Yehova Mungu wetu ametuamuru!’ Basi mkajifunga, kila mmoja, silaha zake za vita nanyi mkaliona kuwa jambo rahisi kupanda mlimani.+ 42 Lakini Yehova akaniambia, ‘Waambie: “Msipande kwenda kupigana, kwa sababu mimi simo katikati yenu;+ msije mkashindwa mbele ya adui zenu.”’+ 43 Basi nikasema nanyi, nanyi hamkusikiliza bali mkaanza kujiendesha kwa kumwasi+ Yehova na kuwaka hasira, nanyi mkajaribu kwenda juu mlimani.+ 44 Ndipo Waamori waliokuwa wakikaa katika mlima huo wakatoka ili kukutana nanyi nao wakawafuatilia ninyi,+ kama vile nyuki wanavyofanya, na kuwatawanya ninyi huko Seiri mpaka Horma.+ 45 Baada ya jambo hilo mkarudi na kuanza kulia mbele za Yehova, lakini Yehova hakuisikiliza sauti yenu,+ wala hakuwategea ninyi sikio.+ 46 Basi mkaendelea kukaa kule Kadeshi siku nyingi, siku nyingi kadiri mlivyokaa huko.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki