-
Kutoka Misri Hadi Nchi Ya Ahadi‘Ona Nchi Nzuri’
-
-
Kisha Musa akawaongoza Waisraeli hadi milima iliyokuwa kusini kabisa, na wakapiga kambi kwenye Mlima Sinai. Wakiwa huko, watu wa Mungu walipewa Sheria, wakajenga tabenakulo, na kutoa dhabihu. Katika mwaka wa pili, walielekea kaskazini kupitia ‘nyika kuu na yenye kutia woga’ hadi Kadeshi (Kadesh-barnea), safari ambayo huenda ilichukua muda wa siku 11. (Kum 1:1, 2, 19; 8:15) Watu hao walitangatanga nyikani kwa miaka 38 kwa sababu ya woga uliowapata baada ya kupokea habari mbaya zilizoletwa na wale wapelelezi kumi. (Hes 13:1–14:34) Walipiga kambi katika sehemu mbalimbali kama vile Abrona na Esion-geberi, kisha wakarudi tena Kadeshi.—Hes 33:33-36.
-
-
Kutoka Misri Hadi Nchi Ya Ahadi‘Ona Nchi Nzuri’
-
-
F8 Ml. Sinai (Horebu)
F8 NYIKA YA SINAI
F7 Kibroth-hataava
G7 Haserothi
G6 Rimon-peresi
G5 Risa
G3 Kadeshi
G3 Bene-yaakani
G5 Hor-hagidgadi
H5 Yotbata
H5 Abrona
H6 Esion-geberi
G3 Kadeshi
-