Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka Misri Hadi Nchi Ya Ahadi
    ‘Ona Nchi Nzuri’
    • Kisha Musa akawaongoza Waisraeli hadi milima iliyokuwa kusini kabisa, na wakapiga kambi kwenye Mlima Sinai. Wakiwa huko, watu wa Mungu walipewa Sheria, wakajenga tabenakulo, na kutoa dhabihu. Katika mwaka wa pili, walielekea kaskazini kupitia ‘nyika kuu na yenye kutia woga’ hadi Kadeshi (Kadesh-barnea), safari ambayo huenda ilichukua muda wa siku 11. (Kum 1:1, 2, 19; 8:15) Watu hao walitangatanga nyikani kwa miaka 38 kwa sababu ya woga uliowapata baada ya kupokea habari mbaya zilizoletwa na wale wapelelezi kumi. (Hes 13:1–14:34) Walipiga kambi katika sehemu mbalimbali kama vile Abrona na Esion-geberi, kisha wakarudi tena Kadeshi.—Hes 33:33-36.

  • Kutoka Misri Hadi Nchi Ya Ahadi
    ‘Ona Nchi Nzuri’
    • F8 Ml. Sinai (Horebu)

      F8 NYIKA YA SINAI

      F7 Kibroth-hataava

      G7 Haserothi

      G6 Rimon-peresi

      G5 Risa

      G3 Kadeshi

      G3 Bene-yaakani

      G5 Hor-hagidgadi

      H5 Yotbata

      H5 Abrona

      H6 Esion-geberi

      G3 Kadeshi

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki