Hesabu 27:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa hiyo Yehova akamwambia Musa: “Jichukulie Yoshua mwana wa Nuni, mwanamume ambaye ndani yake mna roho,+ nawe utaweka mkono wako juu yake;+ Kumbukumbu la Torati 31:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na Musa akamwita Yoshua na kumwambia mbele ya macho ya Israeli wote: “Uwe hodari na mwenye nguvu,+ kwa sababu wewe—wewe utawaingiza watu hawa katika nchi ambayo Yehova aliwaapia mababu zao kwamba atawapa, na wewe mwenyewe utawapa iwe urithi.+ Yoshua 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Uwe hodari na mwenye nguvu,+ kwa maana ni wewe utakayewafanya watu hawa wairithi+ ile nchi ambayo niliwaapia mababu zao kuwa nitawapa.+
18 Kwa hiyo Yehova akamwambia Musa: “Jichukulie Yoshua mwana wa Nuni, mwanamume ambaye ndani yake mna roho,+ nawe utaweka mkono wako juu yake;+
7 Na Musa akamwita Yoshua na kumwambia mbele ya macho ya Israeli wote: “Uwe hodari na mwenye nguvu,+ kwa sababu wewe—wewe utawaingiza watu hawa katika nchi ambayo Yehova aliwaapia mababu zao kwamba atawapa, na wewe mwenyewe utawapa iwe urithi.+
6 Uwe hodari na mwenye nguvu,+ kwa maana ni wewe utakayewafanya watu hawa wairithi+ ile nchi ambayo niliwaapia mababu zao kuwa nitawapa.+