Kumbukumbu la Torati 34:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na Yoshua mwana wa Nuni alikuwa amejaa roho ya hekima,+ kwa kuwa Musa alikuwa ameweka mkono wake juu yake;+ na wana wa Israeli wakaanza kumsikiliza nao wakafanya kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.+ Matendo 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 nao wakawaweka mbele ya mitume, na, wakiisha kusali, hao wakaweka mikono+ yao juu yao. 1 Timotheo 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Usiwe ukiipuuza zawadi+ iliyo ndani yako uliyopewa kupitia utabiri+ na wakati baraza la wanaume wazee walipoweka mikono+ yao juu yako.
9 Na Yoshua mwana wa Nuni alikuwa amejaa roho ya hekima,+ kwa kuwa Musa alikuwa ameweka mkono wake juu yake;+ na wana wa Israeli wakaanza kumsikiliza nao wakafanya kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.+
14 Usiwe ukiipuuza zawadi+ iliyo ndani yako uliyopewa kupitia utabiri+ na wakati baraza la wanaume wazee walipoweka mikono+ yao juu yako.