Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Timotheo 4
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Timotheo 4:1

Marejeo

  • +2Ti 4:3
  • +2Th 2:3
  • +2Th 2:2; 2Pe 2:1
  • +2Ko 11:14; Ufu 16:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2006, kur. 23-24

    7/1/1994, kur. 9-10

    5/15/1994, kur. 15-20

    4/1/1994, kur. 9-14

    Mwabudu Mungu, kur. 72-73

  • Fahirishi ya Machapisho

    w06 11/15 23-24; wt 72-73

1 Timotheo 4:2

Marejeo

  • +Mdo 20:30; 2Ti 2:16; 2Pe 2:3
  • +Mdo 24:16; 1Ti 1:5; Ebr 10:22

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, kur. 501-502

    Ufahamu, uku. 311

    Dumu Katika Upendo wa Mungu, kur. 23-24

    “Upendo wa Mungu,” uku. 22

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2006, kur. 23-24

  • Fahirishi ya Machapisho

    lv 22; w06 11/15 23-24

1 Timotheo 4:3

Marejeo

  • +1Ko 7:36; 9:5; Ebr 13:4
  • +Ro 14:3
  • +Mwa 9:3
  • +Ro 14:17; 1Ko 10:25

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/1996, kur. 6-7

    12/15/1990, uku. 21

  • Fahirishi ya Machapisho

    w96 7/1 6-7

1 Timotheo 4:4

Marejeo

  • +Mwa 1:31
  • +Mdo 10:15
  • +Mdo 27:35

1 Timotheo 4:6

Marejeo

  • +Tit 2:1
  • +2Ti 2:15; 3:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 54

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/2009, kur. 16-17

    Huduma ya Ufalme,

    1/2005, uku. 1

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 5/15 16-17; km 1/05 1

1 Timotheo 4:7

Marejeo

  • +1Ti 6:20; Tit 1:14
  • +2Pe 1:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    9/2020, uku. 28

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    4/2018, uku. 14

    Mnara wa Mlinzi,

    4/1/1994, uku. 29

1 Timotheo 4:8

Marejeo

  • +Ro 12:1; 1Ko 10:31; Efe 6:7
  • +Mt 6:33; Ro 8:28
  • +Yoh 17:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Amkeni!,

    Na. 1 2020 uku. 11

    5/22/2005, uku. 11

    1/22/1993, uku. 25

    Ufahamu, uku. 972

    Mnara wa Mlinzi,

    2/1/2001, uku. 5

    1/1/1997, uku. 5

    9/1/1994, kur. 29-31

    6/15/1994, kur. 18-19

    12/1/1990, kur. 6-7

  • Fahirishi ya Machapisho

    g05 5/22 11; w01 2/1 5; w97 1/1 5

1 Timotheo 4:9

Marejeo

  • +1Ti 1:15

1 Timotheo 4:10

Marejeo

  • +Lu 13:24
  • +1Pe 1:3
  • +Yud 25
  • +Gal 3:28; 1Ti 2:4
  • +Zb 31:23

1 Timotheo 4:11

Marejeo

  • +1Ko 14:37; 16:1; 1Th 4:11
  • +1Ti 6:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    4/2018, uku. 13

1 Timotheo 4:12

Marejeo

  • +1Ko 16:11; Tit 2:15
  • +Flp 3:17
  • +Kol 3:12
  • +Gal 5:22; Yak 3:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mistari ya Biblia Yafafanuliwa, makala 24

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    4/2022, kur. 4-9

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    8/2018, kur. 11-12

    4/2018, uku. 13

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/2015, uku. 15

    12/15/2009, kur. 12-15

    9/15/1999, uku. 31

    Huduma ya Ufalme,

    9/1996, uku. 1

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 12/15 12-15; w99 9/15 31; km 9/96 1

1 Timotheo 4:13

Marejeo

  • +Kol 4:16; 1Th 5:27
  • +Mdo 13:15

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    8/2021, kur. 24-25

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2011, kur. 18-19

    3/15/1999, uku. 20

    Shule ya Huduma, uku. 26

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 6/15 18-19; be 26; w99 3/15 20

1 Timotheo 4:14

Marejeo

  • +Mdo 19:6; 1Ko 14:1
  • +1Ti 1:18
  • +Mdo 6:6; 13:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Kutoa Ushahidi, uku. 121

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/2015, uku. 14

    12/15/2009, uku. 11

    9/15/2008, uku. 30

    9/15/1999, uku. 29

    2/15/1998, uku. 25

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 12/15 11; bt 121; w08 9/15 30; w99 9/15 29; w98 2/15 25

1 Timotheo 4:15

Marejeo

  • +Met 15:28
  • +Flp 1:25

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/2009, kur. 11-12

    10/1/2007, uku. 21

    8/1/2001, kur. 12-17

    8/1/1992, kur. 11-12

    8/15/1987, kur. 15-20

    Shule ya Huduma, kur. 74-77

    Amkeni!,

    3/22/1998, uku. 22

    Huduma ya Ufalme,

    12/1995, uku. 2

    “Kila Andiko,” uku. 236

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 12/15 11-12; w07 10/1 21; be 74-77; w01 8/1 12-17; g98 3/22 22

1 Timotheo 4:16

Marejeo

  • +Mdo 20:28
  • +2Ti 4:2; Tit 2:1
  • +Ro 11:14; 1Ko 9:22; 1Pe 3:15

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    10/2021, uku. 24

    Furahia Maisha Milele!, somo la 21

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    8/2016, uku. 23

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2000, kur. 14-19

    3/15/1999, kur. 10-15

    2/15/1998, kur. 25-26

    7/15/1988, kur. 15-20

    “Kila Andiko,” uku. 236

  • Fahirishi ya Machapisho

    w00 6/1 14-19; w99 3/15 10-15; w98 2/15 25-26

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Tim. 4:12Ti 4:3
1 Tim. 4:12Th 2:3
1 Tim. 4:12Th 2:2; 2Pe 2:1
1 Tim. 4:12Ko 11:14; Ufu 16:14
1 Tim. 4:2Mdo 20:30; 2Ti 2:16; 2Pe 2:3
1 Tim. 4:2Mdo 24:16; 1Ti 1:5; Ebr 10:22
1 Tim. 4:31Ko 7:36; 9:5; Ebr 13:4
1 Tim. 4:3Ro 14:3
1 Tim. 4:3Mwa 9:3
1 Tim. 4:3Ro 14:17; 1Ko 10:25
1 Tim. 4:4Mwa 1:31
1 Tim. 4:4Mdo 10:15
1 Tim. 4:4Mdo 27:35
1 Tim. 4:6Tit 2:1
1 Tim. 4:62Ti 2:15; 3:14
1 Tim. 4:71Ti 6:20; Tit 1:14
1 Tim. 4:72Pe 1:7
1 Tim. 4:8Ro 12:1; 1Ko 10:31; Efe 6:7
1 Tim. 4:8Mt 6:33; Ro 8:28
1 Tim. 4:8Yoh 17:3
1 Tim. 4:91Ti 1:15
1 Tim. 4:10Lu 13:24
1 Tim. 4:101Pe 1:3
1 Tim. 4:10Yud 25
1 Tim. 4:10Gal 3:28; 1Ti 2:4
1 Tim. 4:10Zb 31:23
1 Tim. 4:111Ko 14:37; 16:1; 1Th 4:11
1 Tim. 4:111Ti 6:3
1 Tim. 4:121Ko 16:11; Tit 2:15
1 Tim. 4:12Flp 3:17
1 Tim. 4:12Kol 3:12
1 Tim. 4:12Gal 5:22; Yak 3:17
1 Tim. 4:13Kol 4:16; 1Th 5:27
1 Tim. 4:13Mdo 13:15
1 Tim. 4:14Mdo 19:6; 1Ko 14:1
1 Tim. 4:141Ti 1:18
1 Tim. 4:14Mdo 6:6; 13:3
1 Tim. 4:15Met 15:28
1 Tim. 4:15Flp 1:25
1 Tim. 4:16Mdo 20:28
1 Tim. 4:162Ti 4:2; Tit 2:1
1 Tim. 4:16Ro 11:14; 1Ko 9:22; 1Pe 3:15
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Timotheo 4:1-16

1 Timotheo

4 Hata hivyo, neno lililoongozwa na roho linasema kwa hakika kwamba katika vipindi vya nyakati+ za mwisho wengine wataanguka+ kutoka kwenye imani, wakisikiliza maneno yaliyoongozwa kwa roho yenye kupotosha+ na mafundisho ya roho waovu,+ 2 kwa unafiki wa watu wanaosema uwongo,+ waliotiwa alama katika dhamiri+ zao kama kwa chuma cha kutilia alama; 3 wakikataza kufunga ndoa,+ wakiamuru kujiepusha na vyakula+ ambavyo Mungu aliumba+ viliwe kwa kutoa shukrani na wale walio na imani+ na wanaoijua kweli kwa usahihi. 4 Sababu ya hili ni kwamba kila kiumbe cha Mungu ni kizuri,+ na hakuna kitu kinachopaswa kukataliwa+ kama kinapokewa kwa kutoa shukrani,+ 5 kwa maana kinatakaswa kupitia neno la Mungu na sala juu yake.

6 Kwa kuwapa akina ndugu mashauri haya utakuwa mhudumu mzuri wa Kristo Yesu, mwenye kulishwa maneno ya imani na ya fundisho zuri+ ambalo umefuata kwa ukaribu.+ 7 Lakini kataa hadithi za uwongo+ ambazo huchafua mambo matakatifu na ambazo wanawake wazee husimulia. Kwa upande mwingine, uwe ukijizoeza ujitoaji-kimungu ukiwa ni shabaha yako.+ 8 Kwa maana mazoezi ya kimwili ni yenye faida kidogo; lakini ujitoaji-kimungu+ ni wenye faida kwa mambo yote,+ kwa kuwa una ahadi ya uzima wa sasa na ule utakaokuja.+ 9 Neno hilo ni la uaminifu nalo linastahili kukubaliwa kikamilifu.+ 10 Kwa maana kwa kusudi hili tunafanya kazi kwa bidii na kujikaza wenyewe,+ kwa sababu tumeweka tumaini+ letu juu ya Mungu aliye hai, ambaye ni Mwokozi+ wa watu wa namna zote,+ hasa wa watu waaminifu.+

11 Endelea kutoa amri+ hizi na kuzifundisha.+ 12 Usiache mtu yeyote audharau kamwe ujana wako.+ Badala yake, uwe kielelezo+ kwa waaminifu+ katika kusema, katika mwenendo, katika upendo, katika imani, katika usafi wa kiadili.+ 13 Ninapokuwa nikija, endelea kufanya bidii katika kusoma+ mbele ya watu wote,+ katika kuhimiza, katika kufundisha. 14 Usiwe ukiipuuza zawadi+ iliyo ndani yako uliyopewa kupitia utabiri+ na wakati baraza la wanaume wazee walipoweka mikono+ yao juu yako. 15 Tafakari mambo haya;+ zama katika hayo, ili maendeleo+ yako yawe wazi kwa watu wote. 16 Jiangalie daima wewe mwenyewe+ na kufundisha+ kwako. Kaa katika mambo haya, kwa maana kwa kufanya hivyo utajiokoa wewe mwenyewe na wale wanaokusikiliza pia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki