Wakolosai 4:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na mtakapokuwa mmesomewa barua hii, pangeni isomwe+ pia katika kutaniko la Walaodikia, nanyi pia msome ile ya kutoka Laodikia. 1 Wathesalonike 5:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Nawaweka ninyi chini ya wajibu mzito kwa Bwana ili barua hii isomewe ndugu wote.+
16 Na mtakapokuwa mmesomewa barua hii, pangeni isomwe+ pia katika kutaniko la Walaodikia, nanyi pia msome ile ya kutoka Laodikia.