Wakolosai 4:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na mtakapokuwa mmesomewa barua hii, pangeni isomwe+ pia katika kutaniko la Walaodikia, nanyi pia msome ile ya kutoka Laodikia. 2 Petro 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Zaidi ya hayo, ioneni subira ya Bwana wetu kuwa wokovu, kama ndugu yetu mpendwa Paulo alivyowaandikia+ ninyi kulingana na hekima+ aliyopewa,
16 Na mtakapokuwa mmesomewa barua hii, pangeni isomwe+ pia katika kutaniko la Walaodikia, nanyi pia msome ile ya kutoka Laodikia.
15 Zaidi ya hayo, ioneni subira ya Bwana wetu kuwa wokovu, kama ndugu yetu mpendwa Paulo alivyowaandikia+ ninyi kulingana na hekima+ aliyopewa,