Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Timotheo 5
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Timotheo 5:1

Marejeo

  • +Law 19:32; Tit 2:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    8/2018, uku. 11

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/1987, uku. 5

1 Timotheo 5:2

Marejeo

  • +Tit 2:3
  • +Mk 3:35

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha,

    7/2021, uku. 11

    Mnara wa Mlinzi,

    2/1/1991, uku. 23

    9/15/1986, uku. 13

1 Timotheo 5:3

Marejeo

  • +1Ti 5:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/1/2001, uku. 6

    6/1/1987, uku. 8

  • Fahirishi ya Machapisho

    w01 5/1 6

1 Timotheo 5:4

Marejeo

  • +1Ti 5:8
  • +Mt 15:4; Efe 6:2
  • +Met 23:22

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 130, 164

    Ufahamu, uku. 971

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2006, uku. 6

    5/1/2001, kur. 5-6

    9/1/1997, uku. 4

    8/1/1994, uku. 28

    9/15/1993, uku. 17

    3/1/1990, kur. 20-21

    1/15/1989, uku. 23

    6/15/1987, uku. 24

    6/1/1987, kur. 13-18

    11/1/1986, uku. 22

    Furaha ya Familia, kur. 149, 173-174

    Wapiga-Mbiu, uku. 305

    Amkeni!,

    8/8/1992, uku. 14

    Huduma ya Ufalme,

    5/1991, uku. 2

  • Fahirishi ya Machapisho

    w06 6/1 6; w01 5/1 5; w97 9/1 4; jv 305; fy 149, 173-174

1 Timotheo 5:5

Marejeo

  • +Yak 1:27
  • +Yer 49:11; 1Ko 7:34
  • +Lu 2:37; 18:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/1987, uku. 8

1 Timotheo 5:6

Marejeo

  • +Kol 3:5
  • +Efe 2:1; Kol 2:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/1987, kur. 8-9

1 Timotheo 5:7

Marejeo

  • +1Ti 4:11
  • +1Ti 6:14

1 Timotheo 5:8

Marejeo

  • +Mt 15:5
  • +Isa 58:7
  • +Tit 1:16
  • +Yud 3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2023, uku. 27

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 130

    Furahia Maisha Milele!, somo la 49

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    8/2018, uku. 24

    Dumu Katika Upendo wa Mungu, uku. 137

    Mnara wa Mlinzi,

    4/15/2014, uku. 23

    2/15/2012, uku. 7

    5/15/2011, uku. 7

    5/1/2007, kur. 20-21

    6/15/2005, kur. 18-20

    6/1/1998, kur. 20-21

    9/1/1997, kur. 4-5

    8/15/1997, kur. 19-20

    10/15/1996, kur. 22-23

    10/1/1996, kur. 29-31

    2/15/1993, uku. 23

    11/1/1992, uku. 17

    11/1/1988, uku. 22

    9/1/1988, uku. 30

    7/15/1988, uku. 21

    2/15/1988, uku. 31

    6/15/1987, kur. 24-26

    6/1/1987, kur. 13-14

    11/1/1986, uku. 22

    “Upendo wa Mungu,” uku. 116

    Furaha ya Familia, uku. 160

    Ujuzi, kur. 145-146

    Wapiga-Mbiu, uku. 305

    Amkeni!,

    2/22/1993, uku. 7

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 2/15 7; w11 5/15 7; lv 116; w07 5/1 20-21; w05 6/15 18-20; w98 6/1 20-21; w97 8/15 19-20; w97 9/1 4-5; jv 305; w96 10/1 29-31; w96 10/15 22-23; fy 160

1 Timotheo 5:9

Marejeo

  • +1Ti 3:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    4/1/2007, uku. 31

    6/1/2006, kur. 6-7

    10/15/1995, uku. 32

    6/1/1987, uku. 9

    10/15/1986, kur. 17-18

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 4/1 31; w06 6/1 6-7

1 Timotheo 5:10

Marejeo

  • +Mdo 9:39; 1Ti 2:10
  • +1Ti 2:15
  • +Ebr 13:2; 1Pe 4:9
  • +1Sa 25:41; Yoh 13:5, 14
  • +1Ti 5:16; Yak 1:27
  • +Met 31:27

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2006, kur. 6-7

    10/15/1995, uku. 32

    Wapiga-Mbiu, uku. 305

  • Fahirishi ya Machapisho

    w06 6/1 6-7; jv 305

1 Timotheo 5:11

Marejeo

  • +1Ko 7:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/1987, uku. 9

1 Timotheo 5:12

Marejeo

  • +Ufu 2:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/1987, uku. 9

1 Timotheo 5:13

Marejeo

  • +2Th 3:11; 1Ti 3:11; 1Pe 4:15

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/2011, uku. 18

    6/15/2007, uku. 20

    10/15/1989, kur. 11, 20

    Amkeni!,

    3/8/1990, uku. 17

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 7/15 18; w07 6/15 20

1 Timotheo 5:14

Marejeo

  • +1Ko 7:9
  • +1Ti 2:15
  • +Tit 2:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/1989, uku. 20

1 Timotheo 5:15

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/2011, kur. 18-19

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 7/15 18-19

1 Timotheo 5:16

Marejeo

  • +1Ti 5:10
  • +Kum 15:11; 1Ti 5:5; Yak 1:27

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    8/1/1994, uku. 28

1 Timotheo 5:17

Marejeo

  • +Ro 12:8; Ebr 13:17; 1Pe 5:2
  • +Mdo 28:10
  • +1Th 5:12; Ebr 13:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/1/1997, uku. 20

    2/1/1991, uku. 23

    9/15/1989, uku. 22

    6/1/1986, uku. 24

  • Fahirishi ya Machapisho

    w97 10/1 20

1 Timotheo 5:18

Marejeo

  • +Kum 25:4; 1Ko 9:9
  • +Law 19:13; Mt 10:10; Gal 6:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/15/1989, uku. 22

1 Timotheo 5:19

Marejeo

  • +Kum 19:15; Mt 18:16; 2Ko 13:1; Ebr 10:28

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/15/1989, uku. 18

1 Timotheo 5:20

Marejeo

  • +1Ko 15:34; 1Yo 3:9
  • +Met 28:23; Efe 5:11; Tit 1:9, 13; Ufu 3:19
  • +Kum 13:11; Gal 2:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Tengenezo, uku. 149

    Kutoa Sababu, uku. 350

  • Fahirishi ya Machapisho

    rs 350

1 Timotheo 5:21

Marejeo

  • +2Ti 4:1
  • +Law 19:15; Yak 3:17

1 Timotheo 5:22

Marejeo

  • +Mdo 6:6; 14:23; 1Ti 3:6; 4:14
  • +2Yo 11; Ufu 18:4
  • +1Ti 4:12; 1Yo 3:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/2015, uku. 15

1 Timotheo 5:23

Marejeo

  • +Lu 10:34; 1Ti 3:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 43

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/2015, kur. 25-26

    11/1/2015, uku. 15

    8/1/2012, uku. 26

    8/1/1987, kur. 4-5

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 8/1 26

1 Timotheo 5:24

Marejeo

  • +Met 28:13; Gal 5:19
  • +Yos 7:11; Ebr 4:13

1 Timotheo 5:25

Marejeo

  • +Mt 5:16; 1Ti 3:7
  • +Mt 10:26; Lu 12:2; 1Ko 4:5

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Tim. 5:1Law 19:32; Tit 2:2
1 Tim. 5:2Tit 2:3
1 Tim. 5:2Mk 3:35
1 Tim. 5:31Ti 5:16
1 Tim. 5:41Ti 5:8
1 Tim. 5:4Mt 15:4; Efe 6:2
1 Tim. 5:4Met 23:22
1 Tim. 5:5Yak 1:27
1 Tim. 5:5Yer 49:11; 1Ko 7:34
1 Tim. 5:5Lu 2:37; 18:1
1 Tim. 5:6Kol 3:5
1 Tim. 5:6Efe 2:1; Kol 2:13
1 Tim. 5:71Ti 4:11
1 Tim. 5:71Ti 6:14
1 Tim. 5:8Mt 15:5
1 Tim. 5:8Isa 58:7
1 Tim. 5:8Tit 1:16
1 Tim. 5:8Yud 3
1 Tim. 5:91Ti 3:2
1 Tim. 5:10Mdo 9:39; 1Ti 2:10
1 Tim. 5:101Ti 2:15
1 Tim. 5:10Ebr 13:2; 1Pe 4:9
1 Tim. 5:101Sa 25:41; Yoh 13:5, 14
1 Tim. 5:101Ti 5:16; Yak 1:27
1 Tim. 5:10Met 31:27
1 Tim. 5:111Ko 7:9
1 Tim. 5:12Ufu 2:4
1 Tim. 5:132Th 3:11; 1Ti 3:11; 1Pe 4:15
1 Tim. 5:141Ko 7:9
1 Tim. 5:141Ti 2:15
1 Tim. 5:14Tit 2:8
1 Tim. 5:161Ti 5:10
1 Tim. 5:16Kum 15:11; 1Ti 5:5; Yak 1:27
1 Tim. 5:17Ro 12:8; Ebr 13:17; 1Pe 5:2
1 Tim. 5:17Mdo 28:10
1 Tim. 5:171Th 5:12; Ebr 13:7
1 Tim. 5:18Kum 25:4; 1Ko 9:9
1 Tim. 5:18Law 19:13; Mt 10:10; Gal 6:6
1 Tim. 5:19Kum 19:15; Mt 18:16; 2Ko 13:1; Ebr 10:28
1 Tim. 5:201Ko 15:34; 1Yo 3:9
1 Tim. 5:20Met 28:23; Efe 5:11; Tit 1:9, 13; Ufu 3:19
1 Tim. 5:20Kum 13:11; Gal 2:14
1 Tim. 5:212Ti 4:1
1 Tim. 5:21Law 19:15; Yak 3:17
1 Tim. 5:22Mdo 6:6; 14:23; 1Ti 3:6; 4:14
1 Tim. 5:222Yo 11; Ufu 18:4
1 Tim. 5:221Ti 4:12; 1Yo 3:3
1 Tim. 5:23Lu 10:34; 1Ti 3:8
1 Tim. 5:24Met 28:13; Gal 5:19
1 Tim. 5:24Yos 7:11; Ebr 4:13
1 Tim. 5:25Mt 5:16; 1Ti 3:7
1 Tim. 5:25Mt 10:26; Lu 12:2; 1Ko 4:5
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Timotheo 5:1-25

1 Timotheo

5 Usimkemee kwa ukali mwanamume mzee.+ Badala yake, msihi kama baba, wanaume vijana kama ndugu, 2 wanawake wazee+ kama mama, wanawake vijana kama dada+ kwa usafi wote wa kiadili.

3 Waheshimu wajane ambao ni wajane kwelikweli.+ 4 Lakini ikiwa mjane yeyote ana watoto au wajukuu, acha hao wajifunze kwanza kuzoea ujitoaji-kimungu nyumbani+ kwao wenyewe na kuendelea kuwalipa wazazi+ na wazazi wa wazazi wao malipo yanayowastahili, kwa maana hilo linakubalika machoni pa Mungu.+ 5 Basi mwanamke ambaye kwa kweli ni mjane na aliyeachwa maskini+ sana ameweka tumaini lake kwa Mungu+ naye anadumu katika dua na sala usiku na mchana.+ 6 Lakini mwanamke anayejiingiza katika tamaa za mwili+ amekufa+ ingawa yuko hai. 7 Kwa hiyo endelea kutoa amri hizi,+ ili wasiwe wenye kulaumika.+ 8 Hakika ikiwa yeyote hawaandalii mahitaji wale walio wake mwenyewe,+ na hasa wale walio washiriki wa nyumba yake,+ ameikana+ imani+ naye ni mbaya kuliko mtu asiye na imani.

9 Na mjane ambaye amekuwa mwenye umri usiopungua miaka 60, mke wa mume mmoja, awekwe katika orodha,+ 10 mwenye kutolewa ushahidi juu ya matendo yaliyo mazuri,+ ikiwa alilea watoto,+ ikiwa alipokea wageni,+ ikiwa aliosha miguu ya watakatifu,+ ikiwa aliwasaidia wale walio katika dhiki,+ ikiwa alifuata kwa bidii kila tendo jema.+

11 Kwa upande mwingine, wakatae wanawake wajane ambao ni vijana, kwa maana tamaa zao za ngono zinapokuja kati yao na Kristo,+ wao hutaka kuolewa, 12 wakiwa na hukumu kwa sababu wamepuuza wonyesho wao wa kwanza wa imani.+ 13 Wakati huohuo wao hujifunza pia kutokuwa na kazi, wakizunguka-zunguka nyumba kwa nyumba; ndiyo, si kwamba hawana kazi tu, bali pia ni wenye kupiga porojo na wenye kujiingiza katika mambo ya watu wengine,+ wakiongea juu ya mambo ambayo hawapaswi. 14 Kwa hiyo natamani wanawake wajane ambao ni vijana waolewe,+ wazae watoto,+ wasimamie nyumba, wasimpe yule mpinzani sababu yoyote ya kutukana.+ 15 Kwa kweli, tayari wengine wamegeuzwa kando kumfuata Shetani. 16 Ikiwa mwanamke yeyote mwamini ana wajane, acha yeye awasaidie wao,+ na acha kutaniko lisiwe chini ya mzigo huo. Ndipo liweze kuwasaidia wale ambao ni wajane kwelikweli.+

17 Wanaume wazee wanaosimamia+ kwa njia nzuri wahesabiwe kustahili heshima+ mara mbili, hasa wale wanaofanya kazi kwa bidii katika kusema na kufundisha.+ 18 Kwa maana andiko linasema: “Hupaswi kumfunga kinywa ng’ombe-dume anapopura nafaka”;+ pia: “Mfanyakazi anastahili mshahara wake.”+ 19 Usikubali shtaka juu ya mwanamume mzee, isipokuwa tu kwa ushuhuda wa mashahidi wawili au watatu.+ 20 Watu walio na mazoea ya kutenda dhambi+ uwakaripie+ mbele ya watazamaji, ili wengine pia waogope.+ 21 Nakuagiza kwa uzito mbele za Mungu na Kristo Yesu+ na malaika waliochaguliwa kwamba uyashike mambo haya bila kuhukumu mapema, bila kufanya jambo lolote kwa mwelekeo wenye ubaguzi.+

22 Usiweke kamwe mikono+ yako juu ya mtu yeyote haraka-haraka; wala usiwe mshiriki katika dhambi za wengine;+ jihifadhi ukiwa safi kiadili.+

23 Usiendelee kunywa maji, bali utumie divai+ kidogo kwa ajili ya tumbo lako na ugonjwa wako wa mara kwa mara.

24 Dhambi za watu wengine huwa wazi+ mbele ya watu wote, zikiongoza moja kwa moja kwenye hukumu, lakini kwa habari ya watu wengine pia dhambi zao huwa wazi baadaye.+ 25 Vivyo hivyo pia matendo mazuri huwa wazi+ mbele ya watu wote na yale ambayo ni kinyume hayawezi kuendelea kufichwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki