Mambo ya Walawi 19:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Usimpunje+ mwenzako, wala usinyang’anye.+ Usikae na mshahara wa mfanyakazi wa kukodiwa usiku kucha mpaka asubuhi.+ Mathayo 10:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 wala mfuko wa chakula kwa ajili ya safari, wala mavazi mawili ya ndani, wala viatu wala fimbo; kwa maana mfanyakazi anastahili chakula chake.+ Wagalatia 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Zaidi ya hayo, mtu yeyote anayefundishwa neno kwa mdomo+ na ashiriki+ katika mambo yote mema pamoja na yule anayetoa fundisho hilo la mdomo.+
13 Usimpunje+ mwenzako, wala usinyang’anye.+ Usikae na mshahara wa mfanyakazi wa kukodiwa usiku kucha mpaka asubuhi.+
10 wala mfuko wa chakula kwa ajili ya safari, wala mavazi mawili ya ndani, wala viatu wala fimbo; kwa maana mfanyakazi anastahili chakula chake.+
6 Zaidi ya hayo, mtu yeyote anayefundishwa neno kwa mdomo+ na ashiriki+ katika mambo yote mema pamoja na yule anayetoa fundisho hilo la mdomo.+