Hesabu 18:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Nanyi mtakula vitu hivyo kila mahali, ninyi na nyumba yenu, kwa sababu ni malipo yenu kwa ajili ya utumishi wenu katika hema la mkutano.+ Mathayo 10:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 wala mfuko wa chakula kwa ajili ya safari, wala mavazi mawili ya ndani, wala viatu wala fimbo; kwa maana mfanyakazi anastahili chakula chake.+ 1 Wakorintho 9:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Vivyo hivyo, pia, Bwana aliagiza+ kuwa wale wanaotangaza habari njema waishi kwa njia ya habari njema.+
31 Nanyi mtakula vitu hivyo kila mahali, ninyi na nyumba yenu, kwa sababu ni malipo yenu kwa ajili ya utumishi wenu katika hema la mkutano.+
10 wala mfuko wa chakula kwa ajili ya safari, wala mavazi mawili ya ndani, wala viatu wala fimbo; kwa maana mfanyakazi anastahili chakula chake.+
14 Vivyo hivyo, pia, Bwana aliagiza+ kuwa wale wanaotangaza habari njema waishi kwa njia ya habari njema.+