Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorintho 9
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Wakorintho 9:1

Marejeo

  • +Gal 5:1
  • +2Ko 12:12; 1Ti 2:7
  • +Mdo 9:5; 1Ko 15:8

1 Wakorintho 9:2

Marejeo

  • +2Ko 3:2

1 Wakorintho 9:3

Marejeo

  • +1Ko 4:3

1 Wakorintho 9:4

Marejeo

  • +Lu 10:8

1 Wakorintho 9:5

Marejeo

  • +Mt 19:11
  • +Mt 13:55; Gal 1:19
  • +Mt 8:14; Yoh 1:42

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Kitabu kwa Wote, uku. 16

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/1996, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    ba 16; w96 10/15 20

1 Wakorintho 9:6

Marejeo

  • +Mdo 13:2
  • +Mdo 18:3; 2Th 3:8

1 Wakorintho 9:7

Marejeo

  • +Kum 20:6; Met 27:18
  • +Kum 32:14; 1Pe 5:2

1 Wakorintho 9:8

Marejeo

  • +Ro 3:5
  • +Zb 19:7

1 Wakorintho 9:9

Marejeo

  • +Kum 25:4; 1Ti 5:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/1/1989, uku. 17

1 Wakorintho 9:10

Marejeo

  • +Ro 15:4; 1Ko 10:11
  • +2Ti 2:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 649

1 Wakorintho 9:11

Marejeo

  • +1Ko 2:13; Gal 1:11
  • +Ro 15:27; Gal 6:6; Flp 4:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/1/1989, uku. 27

1 Wakorintho 9:12

Marejeo

  • +Mt 17:25; Lu 20:25
  • +Mdo 20:34
  • +2Ko 6:3; 11:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/1/1989, kur. 25-27

1 Wakorintho 9:13

Marejeo

  • +Law 6:16; Hes 18:31; Kum 18:1
  • +1Ko 7:35

1 Wakorintho 9:14

Marejeo

  • +Mt 10:10; Lu 10:7
  • +Ro 15:27; Gal 6:6; 1Th 2:9; Ebr 13:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” uku. 213

    Mnara wa Mlinzi,

    12/1/1989, uku. 27

1 Wakorintho 9:15

Marejeo

  • +Mdo 18:3; 20:34; 1Ko 4:12; 2Th 3:8
  • +2Ko 11:10

1 Wakorintho 9:16

Marejeo

  • +Ufu 22:17
  • +Yer 20:9; Lu 17:10
  • +Eze 3:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Amkeni!,

    7/22/2001, uku. 10

    Mnara wa Mlinzi,

    9/15/1996, kur. 17-18

    “Kila Andiko,” uku. 212

  • Fahirishi ya Machapisho

    g01 7/22 10; w96 9/15 17-18

1 Wakorintho 9:17

Marejeo

  • +1Pe 5:2
  • +1Ko 3:14
  • +Gal 2:7; Efe 3:2; Kol 1:25

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    3/2024, kur. 11-12

1 Wakorintho 9:18

Marejeo

  • +2Ko 11:7

1 Wakorintho 9:19

Marejeo

  • +Gal 5:13
  • +1Pe 3:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 1160

1 Wakorintho 9:20

Marejeo

  • +Mdo 16:3; 18:18
  • +Mdo 21:24, 26
  • +Ro 6:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/1989, uku. 10

1 Wakorintho 9:21

Marejeo

  • +Ro 2:12
  • +Gal 2:3
  • +Yoh 13:34; Gal 6:2
  • +1Ko 7:22

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/1/1996, kur. 14-19

    12/15/1991, uku. 6

    11/15/1989, uku. 10

  • Fahirishi ya Machapisho

    w96 9/1 14-19

1 Wakorintho 9:22

Marejeo

  • +Ro 14:1; 15:1; 2Ko 11:29
  • +Gal 3:28

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    12/1/2005, kur. 27-31

    11/15/1989, uku. 10

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 12/1 27-31

1 Wakorintho 9:23

Marejeo

  • +Mdo 19:26; 1Th 2:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/1989, uku. 10

1 Wakorintho 9:24

Marejeo

  • +Gal 5:7
  • +Flp 3:14; Kol 2:18
  • +Gal 2:2; Flp 2:16
  • +Mt 10:22; 24:13; 2Ti 4:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Kutoa Ushahidi, uku. 149

    Mnara wa Mlinzi,

    9/15/2011, kur. 16, 24

    5/1/2004, uku. 29

    10/1/1999, uku. 18

    8/1/1992, kur. 14-15

    9/15/1990, uku. 25

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 9/15 16, 24; bt 149; w06 3/1 30; w04 5/1 29; w99 10/1 18

1 Wakorintho 9:25

Marejeo

  • +2Pe 1:6
  • +2Ti 2:5
  • +Yak 1:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Kutoa Ushahidi, uku. 149

    Mnara wa Mlinzi,

    5/1/2004, kur. 29-30

    10/15/2003, kur. 18-21

    10/1/2002, uku. 30

    1/1/2001, kur. 30-31

    10/1/1999, kur. 18, 20-21

    8/1/1992, kur. 15-17

    9/15/1990, uku. 25

  • Fahirishi ya Machapisho

    bt 149; w06 3/1 30-31; w04 5/1 29-30; w03 10/15 18-21; w02 10/1 30; w01 1/1 30-31; w99 10/1 18, 20-21

1 Wakorintho 9:26

Marejeo

  • +Ebr 12:1
  • +1Ko 14:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi, 3/1/2006, kur. 30-31

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    9/2016, uku. 9

    Huduma ya Ufalme,

    1/2012, uku. 1

    Mnara wa Mlinzi,

    10/1/2002, uku. 31

    8/1/1992, kur. 17-18

    7/1/1992, kur. 28-29

    9/15/1990, uku. 25

  • Fahirishi ya Machapisho

    km 1/12 1; w06 3/1 31; w02 10/1 31

1 Wakorintho 9:27

Marejeo

  • +Ro 8:13; Kol 3:5
  • +2Ko 13:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    5/2023, uku. 29

    Mnara wa Mlinzi, 3/1/2006, kur. 30-31

    Mnara wa Mlinzi,

    4/15/2013, uku. 14

    8/1/1992, uku. 18

    12/1/1990, kur. 17-18

    9/15/1990, uku. 25

    Kuishi Milele, uku. 223

  • Fahirishi ya Machapisho

    w06 3/1 31

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Kor. 9:1Gal 5:1
1 Kor. 9:12Ko 12:12; 1Ti 2:7
1 Kor. 9:1Mdo 9:5; 1Ko 15:8
1 Kor. 9:22Ko 3:2
1 Kor. 9:31Ko 4:3
1 Kor. 9:4Lu 10:8
1 Kor. 9:5Mt 19:11
1 Kor. 9:5Mt 13:55; Gal 1:19
1 Kor. 9:5Mt 8:14; Yoh 1:42
1 Kor. 9:6Mdo 13:2
1 Kor. 9:6Mdo 18:3; 2Th 3:8
1 Kor. 9:7Kum 20:6; Met 27:18
1 Kor. 9:7Kum 32:14; 1Pe 5:2
1 Kor. 9:8Ro 3:5
1 Kor. 9:8Zb 19:7
1 Kor. 9:9Kum 25:4; 1Ti 5:18
1 Kor. 9:10Ro 15:4; 1Ko 10:11
1 Kor. 9:102Ti 2:6
1 Kor. 9:111Ko 2:13; Gal 1:11
1 Kor. 9:11Ro 15:27; Gal 6:6; Flp 4:17
1 Kor. 9:12Mt 17:25; Lu 20:25
1 Kor. 9:12Mdo 20:34
1 Kor. 9:122Ko 6:3; 11:7
1 Kor. 9:13Law 6:16; Hes 18:31; Kum 18:1
1 Kor. 9:131Ko 7:35
1 Kor. 9:14Mt 10:10; Lu 10:7
1 Kor. 9:14Ro 15:27; Gal 6:6; 1Th 2:9; Ebr 13:16
1 Kor. 9:15Mdo 18:3; 20:34; 1Ko 4:12; 2Th 3:8
1 Kor. 9:152Ko 11:10
1 Kor. 9:16Ufu 22:17
1 Kor. 9:16Yer 20:9; Lu 17:10
1 Kor. 9:16Eze 3:18
1 Kor. 9:171Pe 5:2
1 Kor. 9:171Ko 3:14
1 Kor. 9:17Gal 2:7; Efe 3:2; Kol 1:25
1 Kor. 9:182Ko 11:7
1 Kor. 9:19Gal 5:13
1 Kor. 9:191Pe 3:1
1 Kor. 9:20Mdo 16:3; 18:18
1 Kor. 9:20Mdo 21:24, 26
1 Kor. 9:20Ro 6:14
1 Kor. 9:21Ro 2:12
1 Kor. 9:21Gal 2:3
1 Kor. 9:21Yoh 13:34; Gal 6:2
1 Kor. 9:211Ko 7:22
1 Kor. 9:22Ro 14:1; 15:1; 2Ko 11:29
1 Kor. 9:22Gal 3:28
1 Kor. 9:23Mdo 19:26; 1Th 2:8
1 Kor. 9:24Gal 5:7
1 Kor. 9:24Flp 3:14; Kol 2:18
1 Kor. 9:24Gal 2:2; Flp 2:16
1 Kor. 9:24Mt 10:22; 24:13; 2Ti 4:8
1 Kor. 9:252Pe 1:6
1 Kor. 9:252Ti 2:5
1 Kor. 9:25Yak 1:12
1 Kor. 9:26Ebr 12:1
1 Kor. 9:261Ko 14:9
1 Kor. 9:27Ro 8:13; Kol 3:5
1 Kor. 9:272Ko 13:6
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Wakorintho 9:1-27

1 Wakorintho

9 Je, mimi si huru?+ Je, mimi si mtume?+ Je, mimi sijamwona Yesu Bwana wetu?+ Je, ninyi si kazi yangu katika Bwana? 2 Ikiwa mimi si mtume kwa wengine, hakika mimi ni mtume kwenu, kwa maana ninyi ndio muhuri unaothibitisha+ utume wangu kuhusiana na Bwana.

3 Kwa wale wanaonichunguza, najitetea hivi:+ 4 Sisi tuna mamlaka ya kula+ na kunywa, sivyo? 5 Sisi tuna mamlaka ya kumchukua pamoja nasi dada akiwa mke,+ hata kama vile mitume wale wengine na ndugu za Bwana+ na Kefa,+ sivyo? 6 Au je, ni Barnaba+ na mimi peke yetu tusio na mamlaka ya kujiepusha kufanya kazi ya kimwili?+ 7 Ni nani ambaye hutumika akiwa askari kwa gharama yake mwenyewe? Ni nani ambaye hupanda shamba la mizabibu na asile matunda yake?+ Au ni nani ambaye huchunga kundi na asinywe sehemu ya maziwa ya kundi?+

8 Je, ninasema mambo haya kwa viwango vya kibinadamu?+ Au je, Sheria+ haisemi mambo hayo pia? 9 Kwa maana katika sheria ya Musa imeandikwa: “Hupaswi kumfunga kinywa ng’ombe-dume anapopura nafaka.”+ Je, ni ng’ombe ambao Mungu anajali? 10 Au, je, yeye hasemi hilo kwa ajili yetu tu? Kwa kweli hilo liliandikwa kwa ajili yetu,+ kwa sababu mtu anayelima anapaswa kulima akiwa na tumaini na mtu anayepura anapaswa kupura akiwa na tumaini la kula.+

11 Ikiwa tumepanda vitu vya kiroho+ kwenu, je, ni jambo kubwa tukivuna kutoka kwenu vitu vilivyo kwa ajili ya mwili?+ 12 Ikiwa watu wengine hushiriki mamlaka hii juu yenu,+ je, si hivyo hata zaidi kwetu? Hata hivyo, sisi hatujatumia mamlaka hii,+ bali tunavumilia mambo yote, ili tusiweke kizuizi chochote kwa habari njema+ juu ya Kristo. 13 Je, hamjui kwamba watu wanaofanya kazi takatifu hula+ vitu vya hekalu, na wale wanaohudumu+ daima kwenye madhabahu hupata fungu lao wenyewe pamoja na madhabahu? 14 Vivyo hivyo, pia, Bwana aliagiza+ kuwa wale wanaotangaza habari njema waishi kwa njia ya habari njema.+

15 Lakini mimi sijatumia hata mmoja wa mipango hiyo.+ Kwa kweli, sijaandika mambo haya ili iwe hivyo kuhusiana na mimi, kwa maana ingekuwa vizuri zaidi kwangu nife kuliko—hakuna mtu atakayefanya sababu yangu ya kujisifu+ iwe bure! 16 Ikiwa, sasa, ninatangaza habari njema,+ hiyo si sababu ya mimi kujisifu, kwa maana nimewekewa sharti.+ Kwa kweli, ole+ wangu mimi ikiwa sitangazi habari njema! 17 Kama nikifanya hilo kwa kupenda,+ nina thawabu;+ lakini kama nikifanya hilo kinyume cha kupenda kwangu, vyovyote vile nina usimamizi-nyumba+ niliokabidhiwa. 18 Basi, thawabu yangu ni nini? Kwamba ninapotangaza habari njema niitoe habari njema bila gharama,+ kusudi nisitumie vibaya mamlaka yangu katika habari njema.

19 Kwa maana, ingawa niko huru kutoka kwa watu wote, nimejifanya kuwa mtumwa+ kwa wote, ili niwapate+ watu walio wengi zaidi. 20 Na kwa hiyo kwa Wayahudi+ nilikuwa kama Myahudi, ili niwapate Wayahudi; kwa wale walio chini ya sheria nilikuwa kama aliye chini ya sheria,+ ingawa mimi mwenyewe siko chini ya sheria,+ ili niwapate wale walio chini ya sheria. 21 Kwa wale wasio na sheria+ nilikuwa kama asiye na sheria,+ ijapokuwa mimi siko bila sheria kwa Mungu bali niko chini ya sheria+ kwa Kristo,+ ili niwapate wale wasio na sheria. 22 Kwa walio dhaifu nilikuwa dhaifu, ili niwapate walio dhaifu.+ Nimekuwa mambo yote kwa watu wa namna zote,+ ili kwa vyovyote niwaokoe wengine. 23 Lakini ninafanya mambo yote kwa ajili ya habari njema, ili niishiriki+ hiyo pamoja na wengine.

24 Je, hamjui kwamba wakimbiaji+ katika mbio wote hukimbia, lakini ni mmoja tu anayepokea tuzo?+ Kimbieni+ kwa namna ya kwamba mweze kupata tuzo.+ 25 Zaidi ya hayo, kila mtu anayeshiriki katika shindano hujizuia+ katika mambo yote. Basi wao, bila shaka, hushindana ili wapate taji+ linaloharibika, lakini sisi ili tupate taji lisiloharibika.+ 26 Kwa hiyo, jinsi ninavyokimbia+ si bila uhakika; jinsi ninavyoelekeza ngumi zangu ni ili nisiwe nikipiga hewa;+ 27 lakini naupigapiga mwili+ wangu na kuuongoza kama mtumwa, ili, baada ya mimi kuwahubiria wengine, mimi mwenyewe nisikataliwe+ kwa njia fulani.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki