27 Kweli, wamependezwa kufanya hivyo, na bado walikuwa wadeni kwao; kwa maana ikiwa mataifa wameshiriki mambo yao ya kiroho,+ wao pia wana deni la kuwahudumia hadharani kwa vitu ambavyo ni kwa ajili ya mwili.+
9 Hakika mnakumbuka akilini, akina ndugu, kazi yetu ya jasho na kutaabika. Ilikuwa kwa kufanya kazi+ usiku na mchana, ili tusimtwike yeyote kati yenu mzigo wenye gharama,+ kwamba tuliwahubiria ninyi habari njema ya Mungu.