31 Kisha Musa akamwambia Haruni na wanawe: “Itokoseni+ nyama kwenye mwingilio wa hema la mkutano, na hapo ndipo mtakapoila+ na mkate ulio katika kile kikapu cha kuweka rasmi, kama vile nilivyopewa amri, kusema, ‘Haruni na wanawe wataila.’
7 Kwa hiyo kaeni katika nyumba hiyo,+ mkila na kunywa vitu ambavyo wao wanaandaa,+ kwa maana mfanyakazi anastahili mshahara wake.+ Msiwe mkihama kutoka nyumba mpaka nyumba.+
27 Kweli, wamependezwa kufanya hivyo, na bado walikuwa wadeni kwao; kwa maana ikiwa mataifa wameshiriki mambo yao ya kiroho,+ wao pia wana deni la kuwahudumia hadharani kwa vitu ambavyo ni kwa ajili ya mwili.+