Kumbukumbu la Torati 18:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Atakula fungu linalolingana,+ mbali na kile anachopata kutokana na vitu anavyouza kati ya mali za mababu zake. 1 Wakorintho 10:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Yeyote kati ya wasio waamini akiwaalika nanyi mtake kwenda, kuleni kila kitu kinachowekwa mbele yenu,+ bila kuchunguza kwa sababu ya dhamiri yenu.+ Wagalatia 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Zaidi ya hayo, mtu yeyote anayefundishwa neno kwa mdomo+ na ashiriki+ katika mambo yote mema pamoja na yule anayetoa fundisho hilo la mdomo.+
8 Atakula fungu linalolingana,+ mbali na kile anachopata kutokana na vitu anavyouza kati ya mali za mababu zake.
27 Yeyote kati ya wasio waamini akiwaalika nanyi mtake kwenda, kuleni kila kitu kinachowekwa mbele yenu,+ bila kuchunguza kwa sababu ya dhamiri yenu.+
6 Zaidi ya hayo, mtu yeyote anayefundishwa neno kwa mdomo+ na ashiriki+ katika mambo yote mema pamoja na yule anayetoa fundisho hilo la mdomo.+